Tougher
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 245
- 65
Habari zenu ndugu zangu,
Ninahitaji ng'ombe wadogo wa kisasa (chini ya mwaka 1 prefarably) kwa ajili ya kununua. Nipo Dar es Salaam, aliyenao naomba anipatie bei yake na yupo wapi. Kwa wale wa Dar na pwani nitakuja kuwaona hapo walipo, kama upo mbali na Dar naomba weka na Picha utakapowasiliana nami inbox.
Regards
Tougher
Ninahitaji ng'ombe wadogo wa kisasa (chini ya mwaka 1 prefarably) kwa ajili ya kununua. Nipo Dar es Salaam, aliyenao naomba anipatie bei yake na yupo wapi. Kwa wale wa Dar na pwani nitakuja kuwaona hapo walipo, kama upo mbali na Dar naomba weka na Picha utakapowasiliana nami inbox.
Regards
Tougher