Bilionaire kekeman

Senior Member
Nov 26, 2022
142
823
Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina Bachelor Degree ya Medicine niliyoipata Chuo cha Muhimbili na pia nina Masters Degree ya Medicine specialise kwa watoto kwa maana Bachelor Degree ya Medicine in Pediatric niliyoipata Chuo Kikuu cha Hilford nchini Marekani. Kwa sasa ninafanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini Marekani.

Sina mtoto wala mimba, natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa, maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani, yoyote ambae yuko seriously ani-PM.
 
Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi kwa jina naitwa witness John Temba ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro.
Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
National Anthem finaly tumefikiwa....mrembo anataka ata jobless cha msinginde libolo linafanya kazi
 
Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi kwa jina naitwa witness John Temba ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro.
Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Jioe mwenyewe
 
Zama pm tuyajenge. Nina utajiri wa upendo na uaminifu. Huo ndo utajiri wangu, mengine yanatafutwa

Lakini ngoja kidogo, kweli uwe na masters halafu upate mwanaume jobless uolewe nae?? Umpeleke nyumbani na wazee wanakubali??

Halafu upo Amerika, hiyo ndoa tutqfungaje??

Karibu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom