Ninatafuta mwanaume wa kuishi nae awe na miaka 35-45. Awe mrefu angalau fut 5"5, asiwe na kitambi, awe na elimu kuanzia form 6, awe na upeo wa kuchambua mambo mbalimbali ya kijamii (anaeweza kuargue ktk jambo lolote bila kukwazika) asiwe smoker wa cigarete au weed, asiwe mlevi (mnywaji sawa tu).
Mimi nina miaka 31, mrefu kidogo, umbo la wastani na ni mzuri (kawaida) sivuti wala situmii pombe, elimu yangu form 6. Am serious ktk hili jamani wale mnaofanyaga utani mpumzike khdogo! Hapa vigezo na masharti vitazingatiwa. Kwa maelezo zaidi ni PM au nitumie ujumbe cecybenson@hotmail.com.
ASANTENI.
Mimi nina miaka 31, mrefu kidogo, umbo la wastani na ni mzuri (kawaida) sivuti wala situmii pombe, elimu yangu form 6. Am serious ktk hili jamani wale mnaofanyaga utani mpumzike khdogo! Hapa vigezo na masharti vitazingatiwa. Kwa maelezo zaidi ni PM au nitumie ujumbe cecybenson@hotmail.com.
ASANTENI.