Natafuta mfanyakazi wa stationary

Mnene 1

Senior Member
Jan 14, 2010
125
11
natafuta binti/kijana ambae yuko tayari kufanya kazi stationary Mbeya.
Awe angalao na elimu ya kidato cha nne, awe na certificate/diploma ya secretarial.

mwenye interest please PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom