kitutunyantuntumbe
Member
- Aug 2, 2012
- 10
- 8
Habari ,
Naitwa Saidi, natafuta mchumba ili tufike kwenye ndoa. Mchumba ninayemtafuta awe mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 25. Awe na elimu ya chuo kikuu au form six, awe muislam, mkweli, mwaminifu, anayejishughulisha, asiyekuwa na watoto, pia awe tayari kupima Ukimwi. Namba yangu ya simu nitatoa baada ya kufahamiana na mhusika. Email yenye picha itapewa kipaumbele zaidi. Napatikana kwenye email: saidi.bakari@rocketmail.com
Naitwa Saidi, natafuta mchumba ili tufike kwenye ndoa. Mchumba ninayemtafuta awe mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 25. Awe na elimu ya chuo kikuu au form six, awe muislam, mkweli, mwaminifu, anayejishughulisha, asiyekuwa na watoto, pia awe tayari kupima Ukimwi. Namba yangu ya simu nitatoa baada ya kufahamiana na mhusika. Email yenye picha itapewa kipaumbele zaidi. Napatikana kwenye email: saidi.bakari@rocketmail.com