Natafuta mchumba(mume)

Kwanini muda wote haujani PM?
Ukija kutafuta mchumba jf lazima upitie kwangu

Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
 
kuna post 1 chit chat imeandikwa 'am new here' nenda kajionee.. lara 1
 
Last edited by a moderator:
Be specific wewe jikubali jinsi ulivyo hakuna kipimo cha kati,kama ni mweusi,mnene na mfupi sema tuuuuuu!!! Je rangi yako imeizidi ya OBama? Maana Obama ni Black yule.
barack-obama.jpg
Racial colours ni very subjective. Huko Marekani mtu yeyote mwenye asili au mchanganyiko wa Ki-Afrika anaitwa mweusi hata kama rangi yake halisi siyo nyeusi. Kwangu mimi Obama siyo mweusi bali mixed race kwa maana kwamba mama yake ni mzungu na baba yake Mwafrika. Kwa kuwa yeye ni nusu-nusu ni kigezo gani kinachotumika kumuita mtu mweusi na siyo mweupe? Hivyo hivyo hakuna mtu mweupe. Wazungu wengi niliowahi kuwaona rangi zao ni pinkish au a mix of redish and brown. Hakuna mzungu mweupe kama karatasi au chokaa. Kwa hiyo kujiita whites na sisi kutuita blacks ilikuwa namna yao ya kutudhalilisha na wao kujikweza. Kwa tamaduni na imani za wazungu rangi nyeuoe iliwakilisha wema/utakatifu/ubora na rangi nyeusi iliwakilisha uovu/ushetani na uduni. Mbona Wachina, Wahindi, Waarabu, etc. hawaangaliwi kwa misingi ya rangi zao? Au wao hawana rangi?
 
Racial colours ni very subjective. Huko Marekani mtu yeyote mwenye asili au mchanganyiko wa Ki-Afrika anaitwa mweusi hata kama rangi yake halisi siyo nyeusi. Kwangu mimi Obama siyo mweusi bali mixed race kwa maana kwamba mama yake ni mzungu na baba yake Mwafrika. Kwa kuwa yeye ni nusu-nusu ni kigezo gani kinachotumika kumuita mtu mweusi na siyo mweupe? Hivyo hivyo hakuna mtu mweupe. Wazungu wengi niliowahi kuwaona rangi zao ni pinkish au a mix of redish and brown. Hakuna mzungu mweupe kama karatasi au chokaa. Kwa hiyo kujiita whites na sisi kutuita blacks ilikuwa namna yao ya kutudhalilisha na wao kujikweza. Kwa tamaduni na imani za wazungu rangi nyeuoe iliwakilisha wema/utakatifu/ubora na rangi nyeusi iliwakilisha uovu/ushetani na uduni. Mbona Wachina, Wahindi, Waarabu, etc. hawaangaliwi kwa misingi ya rangi zao? Au wao hawana rangi?

Nakubaliana na wewe lkn Obama ni Black African-America kuwa na mama mzungu sio kigezo cha kusema obama ni mzungu.......
 
Duh ! sipati picha ina maana huko unakoishi,unakofanya kazi unakotembelea ,hakuna kabisa wanaume wa kuku check madame mpaka ukairusha kwa JF.Nina wasiwasi sana huenda huna tabia ya kusabahiana na watu thus why still single.



Mkuu wa Kaya . hapo umechemka mdada yuko correct hapa ni mahala pake ndo maana pakaitwa jukwaa la Mahusiano, Urafiki na Mapenzi. Inaonekana umepotea jukwaa Mkuu.
 
Habari zenu, mimi ni mdada age yangu 30-33 nina tafuta mume mwenye age 34-45 asiye oa, asiye na mtoto zaidi ya mmoja, sijaolewa, sina mtoto, nina elimu ya chuo, nimeajiriwa. Mume mtarajiwa awe ana kazi au amejiajiri awe amesoma, mueelewa, mwenye mapenzi ya kweli, mcha Mungu na awe na hofu ya Mungu. Asiwe mnene sana awe mrefu awe amemaliza mambo ya ujana, mi si mnene wala mwembamba, si mrf wala mfupi, si mweupe wala mweusi niko kati,napenda kusali,gym, jogging,napenda music haswa country music, napenda kusafiri sehemu tofauti.
Kwa wale wenye age hiyo hapo juu walio single na serious plse pm,

Wanyakyusa hapana, najua mtasema na ubaguzi ila nina experience nao mbaya sorry for that..

Nadhani sijachelewa. na kama uko serious fanya uamuzi wa busara. mimi naona nimeshakuwa wako. ni - pm. vigezo vyako ninavyo
 
du niko nje ya umri,lakini kama nikipata nafasi sifa zingine ninazo yaani miaka 48
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom