Popote mlipo,mwenzenu natafuta watu wa kubadilishana nao mawazo, na wenye uzoefu ktk maisha.
Kwa sbb hapa JF ni sawa na nyumbani, jinsia yeyote, aliye serious ani-PM au email kwa atakayependa ipo.
mimi niko tayari,wewe ni me au ke?
Si anamuelekeza tu mkuu maana yalishahamishwa humu hayaMmmhh!
Kwani we Mod?
<br />Si anamuelekeza tu mkuu maana yalishahamishwa humu haya