Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,294
- 2,684
Wakuu!
Niende moja kwa moja kwenye mada, natafuta mafundi seremala au mtu yeyote mwenye uwezo tajwa hapo juu.
Niko Mafinga mjini, eneo la kazi ni Mufindi wilayani si hapa mjini. Ni kazi ya muda tu, ni kazi ya kujenga Chinese Camps.
Malipo ni TSH 25,000/= Per day.
Ni muhimu na haraka sana wanahitajika, ni-PM kwa anaehitaji.
Niende moja kwa moja kwenye mada, natafuta mafundi seremala au mtu yeyote mwenye uwezo tajwa hapo juu.
Niko Mafinga mjini, eneo la kazi ni Mufindi wilayani si hapa mjini. Ni kazi ya muda tu, ni kazi ya kujenga Chinese Camps.
Malipo ni TSH 25,000/= Per day.
Ni muhimu na haraka sana wanahitajika, ni-PM kwa anaehitaji.