Natafuta life partner wa kike

Hello wanajamvi,

Mimi ni kijana Mwenye miaka 34. Nina watoto wa 2. Nimezaa na mke mmoja. Tulifunga ndoa ya kanisani ila hatukufanikiwa kufika mbali after 7 years tumevunja ndoa mahakamani. Sasa niko huru natafuta mwenza mwingine.

Ni muajiliwa Kampuni Binafsi.
Niko Dar es salaam.

Please PM me if interested.

Nafikiri tuanzie hapo.
🙆
 
Asante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.


Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.

Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.

Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.

Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
You're the man.Usiangalie nyuma utageuka kuwa mnara wa chumvi.Bravo!
 
Asante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.


Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.

Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.

Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.

Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
Uwezo wa mtu mweusi kupambana na changamoto ni mdogo sana ndo maana maisha yetu kama yalivyo

Hata huyo mwanamke mwingine akidai talaka siutamziria na kumwacha swali utaacha wangapi ni hatari sana kwa mwanaume kuwa na tabia za kuzira hasa unapokutana na changamoto

Mtu mweusi anapokutana na changamoto akili ya kwanza ni kutafuta short-cut au kuizira na sio kuiface

Ndoa na mahusiano ni kwa strong men wewe endelea kununua malaya, sikushauri uingie kwenye mahusiano Itakupokuja changamoto mfano wa hio ya mara ya kwanza utaingia tena mitini
 
Uwezo wa mtu mweusi kupambana na changamoto ni mdogo sana ndo maana maisha yetu kama yalivyo

Hata huyo mwanamke mwingine akidai talaka siutamziria na kumwacha swali utaacha wangapi ni hatari sana kwa mwanaume kuwa na tabia za kuzira hasa unapokutana na changamoto

Mtu mweusi anapokutana na changamoto akili ya kwanza ni kutafuta short-cut au kuizira na sio kuiface

Ndoa na mahusiano ni kwa strong men wewe endelea kununua malaya, sikushauri uingie kwenye mahusiano Itakupokuja changamoto mfano wa hio ya mara ya kwanza utaingia tena mitini

Ni mtazamo wakomzee siwezi kukupinga, nilishavuka level za kununua malaya bwana mdogo.
 
Asante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.


Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.

Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.

Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.

Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
Ukipata bibi mpya kumbuka kufanya pre nuptials agreement.Itakusaidia kuondoa usumbufu incase mkishindwana tena.Pole saana
 
Hello wanajamvi,

Mimi ni kijana Mwenye miaka 34. Nina watoto wa 2. Nimezaa na mke mmoja. Tulifunga ndoa ya kanisani ila hatukufanikiwa kufika mbali after 7 years tumevunja ndoa mahakamani. Sasa niko huru natafuta mwenza mwingine.

Ni muajiliwa Kampuni Binafsi.
Niko Dar es salaam.

Please PM me if interested.

Nafikiri tuanzie hapo.
Dah....uliingia kifungoni ukiwa na 25yrs? ... shenzi zako 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hujawahi kujutia kumcheat mke wako wa ndoa? Hujawahi kuamini kwamba alikuwa sahihi kudai talaka? Uliwahi kuvaa viatu vyake japo kwa dkk kadhaa?
 
Early is better mzee mazingira yaliruhusu ningeingia na 30+ now ningerudi nyuma sanaa. kama bado hujapata mtu anza mapema sikutaka kulea waangu na pension kaka.
Dah...hii inaweza kuwa sababu ya kuachana 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom