Ushiled
Senior Member
- Nov 4, 2023
- 109
- 165
🙆Hello wanajamvi,
Mimi ni kijana Mwenye miaka 34. Nina watoto wa 2. Nimezaa na mke mmoja. Tulifunga ndoa ya kanisani ila hatukufanikiwa kufika mbali after 7 years tumevunja ndoa mahakamani. Sasa niko huru natafuta mwenza mwingine.
Ni muajiliwa Kampuni Binafsi.
Niko Dar es salaam.
Please PM me if interested.
Nafikiri tuanzie hapo.