Ofa yako bossWadau, natafuta kontena lile futi 20 ambalo ni fupi
Lipo Mkuuu
.Lipo Mkuuu
Mkuu ukipata mengi kwa hiyo bei kama yatakua kwenye hali nzuri na full documents naomba usisahau kuniunganisha na mimi nina shida nayo mengi sanaaaaUko wapi?.kwa dar usipungukiwe na 2.5M Hadi 3.2M.Ngoja waje wajuvi watupe muongozo.
Mkuu ukipata mengi kwa hiyo bei kama yatakua kwenye hali nzuri na full documents naomba usisahau kuniunganisha na mimi nina shida nayo mengi sanaaaa
Mkuu kwa 2.7M full documents ni ngumu sanaaaa na ndio maana nikamwambia mdau hapo kuwa akipata mengi anijuzeHizo Bei ni kwa 20Feet.Nenda kurasini yapo mengi Sana.Unaponunua usisahau documents zake.
Ukitaka kwa Bei poa agiza kwa hizi shipping companies.