Natafuta kazi

Habari zenu wakuu , kitaaluma mim ni mwandishi wa habari naomba mwenye kazi jamani kwasasa nipo tayari kufanya kazi yeyote ile ,iwe usafi ,carwash ,dukani kikubwa iwe ya kwenda na kurudi . Location nipo Iringa Igumbilo
Kuna kampuni inaitwa ukamwi ni mawakala wa wafanyakazi viwandani kwa kazi za vibarua

Na kuhusu malipo kwa siku ni elfu 11 na ofisi zao zipo dar ofisi zao zipo vingunguti

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wakuu , kitaaluma mim ni mwandishi wa habari naomba mwenye kazi jamani kwasasa nipo tayari kufanya kazi yeyote ile ,iwe usafi ,carwash ,dukani kikubwa iwe ya kwenda na kurudi . Location nipo Iringa Igumbilo

Mwandishi wa habari katika level ipi ya kusoma (degree, diploma, certificate?), ukishajibu nitakuwa na cha kukushauri!
 
Habari zenu wakuu , kitaaluma mim ni mwandishi wa habari naomba mwenye kazi jamani kwasasa nipo tayari kufanya kazi yeyote ile ,iwe usafi ,carwash ,dukani kikubwa iwe ya kwenda na kurudi . Location nipo Iringa Igumbilo
Ngoja nikuambie ukweli. Tanzania katika sekta ambayo ina upungufu mkubwa wa professionals ni uandishi wa habari. Tanzania kuna uhaba mkubwa sana wa waandishi wa habari. Mkazo: nimesema ''waandishi wa habari'' na siyo hawa maripota wachumia tumbo wanaojifanya ni waandishi wa habari. Kama upande wa investigative journalism, ni kama hakuna watu kabisa. Tatizo kubwa ni kwamba nadhani wengi waliosomea hii kazi hawakupata elimu ya viwango, ni waoga, wana tamaa na njaa kali. Kama kweli umesomea uandishi wa habari ni kwa nini usichangamkie ombwe kubwa la uandishi wa habari lililopo? Kwa mfano kuna sasa hivi kuna uvumi kuwa waziri mkuu alimehongwa fedha nyingi na hawa jamaa wa DP world na akazimtumia kununua apartments Mikocheni. Habari kama hii ikipata mwandishi jasiri wa kuifuatilia ni hit nzuri sana.
 
Hii inakuaje? Lazima uwe journalist?

Siyo lazima! Ingawa mtu mwenye background ya Journalism au Mass Communication anaweza kuifanya vizuri zaidi! Ukiweza na complete and excellent command of English language unaipiga tu vizuri! Pia kama field yako inahusiana na mambo ya jamii nafikiri nayo inaweza kuwa added advantage!
 
Siyo lazima! Ingawa mtu mwenye background ya Journalism au Mass Communication anaweza kuifanya vizuri zaidi! Ukiweza na complete and excellent command of English language unaipiga tu vizuri! Pia kama field yako inahusiana na mambo ya jamii nafikiri nayo inaweza kuwa added advantage!


Hiyo itakua imenipita pembeni, binafsi na IT ila natamani sana hii kada ya journalism
 
Hiyo itakua imenipita pembeni, binafsi na IT ila natamani sana hii kada ya journalism

Elimu na kupata maarifa hakuna mwisho! Actually labor market ya sasa inataka watu ambao ni multi-skilled!!! Usibaki na IT tu, kuna skills kadhaa zinazoweza kutengeneza combination nzuri na profession yako ya IT! Hujachelewa! Upande wa IT unafanya nini kwa sasa?
 
Elimu na kupata maarifa hakuna mwisho! Actually labor market ya sasa inataka watu ambao ni multi-skilled!!! Usibaki na IT tu, kuna skills kadhaa zinazoweza kutengeneza combination nzuri na profession yako ya IT! Hujachelewa! Upande wa IT unafanya nini kwa sasa?


Kwa saiv npo kwenye mambo ya usafirishaji wa mizigo! Kule kwenye IT nliona takufa njaaa
 
Kwa saiv npo kwenye mambo ya usafirishaji wa mizigo! Kule kwenye IT nliona takufa njaaa

Safi, ingawa kwenye muda wako wa ziada bado unaweza kuendelea kuongeza maarifa na kuongeza “related skills” zinazoweza kuikuza na kuiuza vizuri taaluma yako ya IT! Kama nilivyosema, soko la ajira linataka multi-skilled people!
 
Safi, ingawa kwenye muda wako wa ziada bado unaweza kuendelea kuongeza maarifa na kuongeza “related skills” zinazoweza kuikuza na kuiuza vizuri taaluma yako ya IT! Kama nilivyosema, soko la ajira linataka multi-skilled people!


Siku hz vitu vingi unafanya ukiwa mjanja na mtafiti! Maana hapa cargo tulifanya interview na majamaa wa NIT wamesomea logistics ila mi experience ya mambo ya kwenye transporter za mikoani na kariakoo ikanibeba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom