Natafuta kazi yoyote mkoa wa Tanga

makame clan

Member
Aug 23, 2023
6
2
Ni mhitumu wa chuo, kama kuna Kazi mkoa wa Tanga naomba connection.

Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.
 
Hakuna kazi yoyote mkuu, upande gani unauzoefu nao ili wadau wa tanga wajue moja

Ata Kama life tight, shughulisha akili yako vyema
 
Hakuna kazi yoyote mkuu, upande gani unauzoefu nao ili wadau wa tanga wajue moja

Ata Kama life tight, shughulisha akili yako vyema
Mkuu hawa Graduates wanasumbua sana. Angalia tangazo lake ameliweka kibabe utadhani shida ni zetu

Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.

Yeye hajaweka namba yake hapa lakini anataka watu waweke zao. Hii ni dharau.
 
Ni mhitumu wa chuo, kama kuna Kazi mkoa wa Tanga naomba connection.

Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.
upo sehemu gani Tanga.

Acha kuwa na aibu.

Lushoto
Bumbuli
Korogwe
Kilindi
Mkinga
Mheza
Handeni
Pangani
TANGA MJINI.
 
Mkuu hawa Graduates wanasumbua sana. Angalia tangazo lake ameliweka kibabe utadhani shida ni zetu

Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.

Yeye hajaweka namba yake hapa lakini anataka watu waweke zao. Hii ni dharau.
Boss amtafute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom