makame clan
Member
- Aug 23, 2023
- 6
- 2
Ni mhitumu wa chuo, kama kuna Kazi mkoa wa Tanga naomba connection.
Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.
Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.
Mkuu hawa Graduates wanasumbua sana. Angalia tangazo lake ameliweka kibabe utadhani shida ni zetuHakuna kazi yoyote mkuu, upande gani unauzoefu nao ili wadau wa tanga wajue moja
Ata Kama life tight, shughulisha akili yako vyema
upo sehemu gani Tanga.Ni mhitumu wa chuo, kama kuna Kazi mkoa wa Tanga naomba connection.
Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.
Boss amtafuteMkuu hawa Graduates wanasumbua sana. Angalia tangazo lake ameliweka kibabe utadhani shida ni zetu
Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.
Yeye hajaweka namba yake hapa lakini anataka watu waweke zao. Hii ni dharau.
Ni sahihiMkuu hawa Graduates wanasumbua sana. Angalia tangazo lake ameliweka kibabe utadhani shida ni zetu
Weka namba yako hapa au nitumie meseji PM.
Yeye hajaweka namba yake hapa lakini anataka watu waweke zao. Hii ni dharau.
Tanga mjini kangeUpo wapi kwa sasa?!! Tanga mwenyeji wa sehemu gani haswa?!!
Tanga mjini kangeupo sehemu gani Tanga.
Acha kuwa na aibu.
Lushoto
Bumbuli
Korogwe
Kilindi
Mkinga
Mheza
Handeni
Pangani
TANGA MJINI.
Tafuta mafundi nyumba.Tanga mjini kange