M Mchakatoh JF-Expert Member Dec 21, 2011 302 39 Dec 21, 2011 #1 Masomo yangu ni History na Geography...level yangu ni bachelor ya ualimu..ni sms 0682013161..
YEYE JF-Expert Member Nov 12, 2011 437 72 Dec 21, 2011 #3 Mchakatoh said: Masomo yangu ni History na Geography...level yangu ni bachelor ya ualimu..ni sms 0682013161.. Click to expand... Vumilia mkuu, post zenu karibu zitatoka
Mchakatoh said: Masomo yangu ni History na Geography...level yangu ni bachelor ya ualimu..ni sms 0682013161.. Click to expand... Vumilia mkuu, post zenu karibu zitatoka
G gidytitus JF-Expert Member Oct 4, 2010 332 28 Dec 21, 2011 #4 Piga moyo konde ajira zpo njian, by th way mwl s wa kuhangaika kutafuta kazi. Tulia japo kwel tm inaenda!
Piga moyo konde ajira zpo njian, by th way mwl s wa kuhangaika kutafuta kazi. Tulia japo kwel tm inaenda!
M Mchakatoh JF-Expert Member Dec 21, 2011 302 39 Dec 22, 2011 Thread starter #5 Mie siamini kama ajira ni zipo 100% maana serikali inavyotaabika na hela!..eti ndo waajiri walimu elf 23 mwakani!..Kweli??
Mie siamini kama ajira ni zipo 100% maana serikali inavyotaabika na hela!..eti ndo waajiri walimu elf 23 mwakani!..Kweli??
N nyamagaro JF-Expert Member Feb 25, 2010 394 101 Dec 22, 2011 #6 YEYE said: Vumilia mkuu, post zenu karibu zitatoka Click to expand... Serikali imefilisika haijiri tena wala kupandisha watu vyeo
YEYE said: Vumilia mkuu, post zenu karibu zitatoka Click to expand... Serikali imefilisika haijiri tena wala kupandisha watu vyeo