mi mwenyewe kuna jamaa alishaleta sanaa za hivi mpaka kesho anajifanya
bado sijui nini ila alinilamba 20,000/= na alikua anataka nimpe kama laki na kitu
hivi nikamshitukia ila jamaa yangu mwingine ambaye anye yupo ofs hizo akaniambia
niachane naye tu
si yule naniliu wa Exim tawi la pale ................kama hr wa benki fulani ya wahindi ndo kazi yake kala za wengi tunasubiri kumlipua gazetini tu.