bucca JF-Expert Member Oct 24, 2013 540 84 Sep 10, 2014 #2 Nina kuku wa mayai kama 400 hivi... Unaweza pata kazi.
mojoki JF-Expert Member Oct 21, 2010 1,314 290 Sep 10, 2014 #3 Umeshawaza ingekuaje kama kila mtu angeanzisha uzi wake anatafuta kazi? Msomi hana sifa kama zako Usikariri, Kuna Michepuko ya Ukweli njia kuu inasubiri😍
Umeshawaza ingekuaje kama kila mtu angeanzisha uzi wake anatafuta kazi? Msomi hana sifa kama zako Usikariri, Kuna Michepuko ya Ukweli njia kuu inasubiri😍
Cowman JF-Expert Member Feb 5, 2013 1,711 3,145 Sep 10, 2014 #4 Tulia wakutafute kijana, kizuri cha jiuza