moyo wangu
Member
- Nov 18, 2011
- 59
- 13
Habar zenu wana jf..mimi ni bint nlihitimu masomo yangu last year nina dploma ya procurement natafuta kaz popote tanzania...Asanten
Kila la kheri...
Hope CV yako iko kwa agency kama radarrecruitment.com na wengineo..n a pia fuatilia link za kazi zinazo wekwakwenye jukwaha hili la kazi.
Pia jua kuandika .. impressive CV,,first thing potential employers see is your CV ...and compare with there requirement.
For each specific job application try to align job requirement with what you have in your CV.
Next ,make it look good,...good logical flow & presentable
Talk to you later
Hakuna haja ya kuweza information zako hapa..kama mtu anataka kukusaidia mpeane email kwenye Private Message (PM).
Hakuna haja ya ku disclose privacy yako hapa unless unataka mwenyewe kufanya hivyo under no pressure ya kazi wala nini.
Hakuna haja ya kuweza information zako hapa..kama mtu anataka kukusaidia mpeane email kwenye Private Message (PM).
Hakuna haja ya ku disclose privacy yako hapa unless unataka mwenyewe kufanya hivyo under no pressure ya kazi wala nini.
Habar zenu wana jf..mimi ni bint nlihitimu masomo yangu last year nina dploma ya procurement natafuta kaz popote tanzania...Asanten