john leonard
Member
- Apr 20, 2012
- 62
- 6
ni mvulana mtanzania mwenye umri wa miaka 26,niongeae kiingereza sanifu,mwenye uzoefu wa miaka miwili kwenye fani ya mlima kilimanjaro nikitumika kama mpishi na msaidizi wa kiongozi wa mlima,namiliki cheti cha utalii"advance certificate in wildlife and tourism",naomba mwenye uwezo wa kunisaidia kuendeleza fani yangu na kujiwezesha na kipato anisaidie.