Nina Hp ipaq ni PM nauza 200,000/= Touch Screen
Tupo wengi wa hivi, ila wengine wamepiga kimya..htc ndo noni jamani ni simu au laptop ?kuhuliza si ujinga....
Tupo wengi wa hivi, ila wengine wamepiga kimya..
Htc ni simu brand ya google running on android operating system thou mwanzo zlikkuwa znatumia windows mobile lakini sasa almost zote zna run android os
duh,unaweza kudadavua zaidi hala kwa kiswahili?bado umeniacha,ikiwezekana weka na picha kabisa