Wanajamii naomben mnisaidie natafuta housegel toka sehemu yoyote tanzania.
kwa 40,000/= itakua ngumu kupata pandisha dau!
wao hawa wanadai marupurupu ya mishahawa kwa waajiri wao wakati huo huo wanalipa kiduchu kwa wafanyakazi wao. Inatakiwa mshahara na marupurupu iwe kama ifuatavyo:-
1. mshahara wa h.girl ni 85,000/= .
2. Kula bure na kulala bure.
3. Matibabu bure akiugua na pia nauli ya kwenda kwao na kurudi kila mwaka pamoja na zawadi kwa wazazi wake (baba na mama)
4. Pesa zipelekwe benki si kumpa mkononi ashauriwe namna ya kutunza pesa
5. apewe ushauri njisi ya kujisaidia yeye mwenyewe in future lets say after 5 to 10 years
6. Awe ni mmoja wa wanafamilia, (asinyanyaswe kwa namna yoyote ile) hapo ataweza kuwapenda ninyi pia pamoja ya watoto wenu
Haya wengi hawayatimizi na ndiyo tatizo kila siku wafanyakazi wanasepa tu unabaki unahangaika kama hivi.
Kweli kabisa..Ukimpa mshahara mdogo anatoka na mwanao wa kiume wanabalance au baba mwenye nyumba akikaa vibaya nae anaingia mtegoni.
He!! Changu tena, hiyo itakuwa ni balaa..chukua changu mpe cash nzuri anapiga kazi
Dah namimi natafuta ila awe amemaliza form 4 mshahara 30000 chakula na malazi kwangu!
Naamini utampata utapa kiongozi!!
Mhhh jamani si kweli kuwa 40,000 kwa mwezi ni pesa ndogo ukizingatia kuwa hanunui kitu chochote. Anakula kwako, Nguo unamnunulia, akiugua unamtibia. Hebu fikiria kama unampatia 80,000/= kwa mwezi kama ambavyo wafanyakazi wa kampuni za usafi huwalipa lakini kila siku wanalipa nauli, wanalipia nyumba, chakula na nguo zao. Mi nafikiri 40 thousands is very fairjaman nyinyi mbona mnawalipa kdg sana ao mahaus gal?
dah nikija muwa mam mwenye nyumba stakuja kumlipa kaela aka msaidiz wangu wa ndani
ivi ukikaa weknd home na kuamua kupiga kaz zote za nyumban lazima uchoke,....znachosha hasaaaaaaa..
wewe upo job ,kuna vidil vya apa na pale jaman ...mwenzio yupo tu hm hana ata mishe mishe ,mikaz kibao..na wengne ata kula hawali nao mezan wanaenda kula jikon au nje afu wampa efu 30 sjui 40?
jaribun kuwapa kaela kazuri kdg...tuwafikirie wenzetu jaman...we efu 40 ata ukiamua kutoka wknd AITOSH NA MARAFIKI ZAKO...au ata km aujatoka lakin 40 ndg sana.....
muwape fresh waweze kufanya poa kaz zao..
na km mungu amaekubariki na msaidiz wako ana adabu basi si mbaya km ukimsomesha pia km ana mwamko uo...