Habari wakuu,
Napatikana dar na natafuta bajaj ya kununua kwa million moja pesa ya mtanzania. Iwe katika hali nzuri na inafanya kazi. Mwenye kuwa nayo tuwasiliane kupitia 0753196849.
Ahsanteni.
Haina ulazima kila post ukipita lazima uandike mzee. Wapo waliopata kwa bei hiyo ko mwenye nayo atanicheki tu. ko we kula buyu tu me kuwa serious au la najua mwnyw.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.