ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Ni mwaka wa 22 ninasumbuliwa na tumbo.
Mwanzoni ilikuwa ni mara Amiba, minyoo na kichocho cha tumbo! Kila nikitumia dawa napata nafuu kwa wiki moja au mbili kisha gwaride linaanza upya.
Mei, 2015 nimehamia Mbeya lakini hali inaendelea! Cha ajabu nimepima hapa na kujibiwa nina madonda ya tumbo.
Nikawaona wataalamu wa tiba lishe pamoja na kuwalipa sh.600,000/=Hakuna nafuu sasa naishiwa nguvu mwilini naweza hata kuanguka! Mwili unauma sana, mgongo shingo na kiuno ndo usiseme.
Imebidi hata kulala niwe nalalia tumbo vinginevyo maumivu ni makali sana! Nipeni ushauri please!
Naomba kwa jinsi nilivyo serious msiweke utani kwenye hili suala langu!
Mwanzoni ilikuwa ni mara Amiba, minyoo na kichocho cha tumbo! Kila nikitumia dawa napata nafuu kwa wiki moja au mbili kisha gwaride linaanza upya.
Mei, 2015 nimehamia Mbeya lakini hali inaendelea! Cha ajabu nimepima hapa na kujibiwa nina madonda ya tumbo.
Nikawaona wataalamu wa tiba lishe pamoja na kuwalipa sh.600,000/=Hakuna nafuu sasa naishiwa nguvu mwilini naweza hata kuanguka! Mwili unauma sana, mgongo shingo na kiuno ndo usiseme.
Imebidi hata kulala niwe nalalia tumbo vinginevyo maumivu ni makali sana! Nipeni ushauri please!
Naomba kwa jinsi nilivyo serious msiweke utani kwenye hili suala langu!