Lizo mkristu
Member
- Oct 31, 2019
- 69
- 80
Habari za jioni waungwana wenzangu.mimi nasumbuliwa na vipele maeneo ya karibu na shingo ambapo ndio nywele za kichwa huishia. Je shida ni nini na dawa yake ni ipi naomba msaada wenu.aksante!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app