Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 972
- 1,163
Ndugu zangu mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nina mke na mtoto mmoja, naombeni msaada wa kutatua haya maradhi yafuatayo kwa historia fupi hpo chini.
Mwaka 2017 nilipata maradhi ya tumbo, niliugua sana! Hospitali vipimo majibu yalikuja sina maradhi yte kuanzia kansa, vidonda vya tumbo na mengine. Kwa sku zote hzo niliendelea kutumia dawa za maumivu! Hatimaye nikapoa kabisa. Baada ya miezi mitano mbele niliugua tena tumbo kwa maumivu mara mbili ya awali, awamu hii majibu yalitoka nikiwa na henia ya kitovu kwa matokeo ya kipenyo kidogo sana. Wiki mbili mbele nikafanyiwa upasuaji mdogo wa kukifunga tena kitovu! Namshukuru mungu nilipona kabisa na skuumwa tena tumbo.
Mwaka 2018 nikaanza kusumbuliwa na tonsils kwa kipindi cha miezi mitano! Ikafikia kiasi cha kushindwa kula! Hvyo nayo nikafikia hkohko kwenye upasuaji wa tonsils! Cha kushangaza tatizo la tumbo bado linakuja mara kwa mara na matokeo sina maradhi ya tumbo, na bdo napata sana shida kooni.
Msaada jamani yyte nayejua tiba, ushauri
Mwaka 2017 nilipata maradhi ya tumbo, niliugua sana! Hospitali vipimo majibu yalikuja sina maradhi yte kuanzia kansa, vidonda vya tumbo na mengine. Kwa sku zote hzo niliendelea kutumia dawa za maumivu! Hatimaye nikapoa kabisa. Baada ya miezi mitano mbele niliugua tena tumbo kwa maumivu mara mbili ya awali, awamu hii majibu yalitoka nikiwa na henia ya kitovu kwa matokeo ya kipenyo kidogo sana. Wiki mbili mbele nikafanyiwa upasuaji mdogo wa kukifunga tena kitovu! Namshukuru mungu nilipona kabisa na skuumwa tena tumbo.
Mwaka 2018 nikaanza kusumbuliwa na tonsils kwa kipindi cha miezi mitano! Ikafikia kiasi cha kushindwa kula! Hvyo nayo nikafikia hkohko kwenye upasuaji wa tonsils! Cha kushangaza tatizo la tumbo bado linakuja mara kwa mara na matokeo sina maradhi ya tumbo, na bdo napata sana shida kooni.
Msaada jamani yyte nayejua tiba, ushauri