chaz beezz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 217
- 841
Moja kwa moja nizame kwenye mada iliyonileta hapa kiukweli no muda Sasa nimekua mtu wa kusumbuliwa na hisia za Mara kwa Mara yaan hamu ya kufanya mapenzi.
Kila muda hata Kama nimetoka kufanya mapenzi muda mchache uliopita lakin bado hamu ya tendo la ndoa itanisumbua kwa Sana kutaka kila Mara imefikia mpaka mpenzi wangu anaona Kama namsumbua kila mda Mimi kuhtaji tendo Kwan uwa nafanya nae Sana Hadi anachoka.
Nauliza hii imekaaje inaweza kuwa n tatizo kwa maana hata napokua bize na mambo yangu lakini bado Hali hii unipata ya kutamani tendo muda wote.
Naombeni ushaur wenu wakuu nifanyeje niishinde halii hii maana naelekea kubaya
Kila muda hata Kama nimetoka kufanya mapenzi muda mchache uliopita lakin bado hamu ya tendo la ndoa itanisumbua kwa Sana kutaka kila Mara imefikia mpaka mpenzi wangu anaona Kama namsumbua kila mda Mimi kuhtaji tendo Kwan uwa nafanya nae Sana Hadi anachoka.
Nauliza hii imekaaje inaweza kuwa n tatizo kwa maana hata napokua bize na mambo yangu lakini bado Hali hii unipata ya kutamani tendo muda wote.
Naombeni ushaur wenu wakuu nifanyeje niishinde halii hii maana naelekea kubaya