Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Sipati picha, kichwa kitakuwa kinamuuma kila akifikiria kuwa ataulizwaje! Nahisi atakuwa anayaomba majini yake yamsaidi Lissu asiulize swali! Urudishwaji wa Mashangingi roho inamuuma sana!!Ndugu mwana jf unadhani nini kitatokea? Je moyo wa mtoto wa mkulima aliyegeuka uzeeni na kuwa tajiri mkubwa unahangaikaje?Naleta hoja!!