MTOTO YATIMA
Senior Member
- Jul 1, 2012
- 147
- 58
Binafsi nielee kusikitishwa na kitendo alichofanya Rafiki yangu na kaka yangu. Kama kweli dhamira yako ya ndani ni kununuliwa basi umetutia donda kubwa sana.
Kuna watu tulijitoa sana kwa ajili ya ubunge wako lakini wewe umekua hauambiliki, umefanya PhD ni kweli lakini hiyo ni kwa ajili yako na familia yako siyo kwa ajili ya jamii ya Meru.
Umeshindwa kwa kiasi kikubwa kuwaletea wana Meru mabadiliko ambayo tuliamini kwa wewe tungeyapata. Haya sasa sasa hivi tumeanza kujadili kwenye magroup ya WhatsApp nani asimame agombee ubunge Arumeru.
Nassari umeanza siasa ukiwa mdogo na umepanda kwa kasi nzuri lakini umejisahau umeishi Maisha ya wanasiasa wanaotaka kustaafu siasa. Achana na siasa fanya mambo mengine; you are still my brother
CHADEMA imeshapoteza nafasi yake kwa Arumeru na chanzo chake ni wewe. Kuna damu italia juu yako mana kuna watu walitoa uhai wao na damu yao ili iandike mabadiliko Arumeru na wewe ukapewa dhamana ya kuongoza mabadilio hayo.
Kama umenunuliwa umekosea na kuna laana utabeba ukiaminiwa na watu unatakiwa utune Imani yao kwako ndani ya moyo wako naamini kabisa tulikupigia kura na ukashinda kwa sababu ya CDM na siyo kwa sababu ulikuwa na sera nzuri
Naomba jitafakari
Kuna watu tulijitoa sana kwa ajili ya ubunge wako lakini wewe umekua hauambiliki, umefanya PhD ni kweli lakini hiyo ni kwa ajili yako na familia yako siyo kwa ajili ya jamii ya Meru.
Umeshindwa kwa kiasi kikubwa kuwaletea wana Meru mabadiliko ambayo tuliamini kwa wewe tungeyapata. Haya sasa sasa hivi tumeanza kujadili kwenye magroup ya WhatsApp nani asimame agombee ubunge Arumeru.
Nassari umeanza siasa ukiwa mdogo na umepanda kwa kasi nzuri lakini umejisahau umeishi Maisha ya wanasiasa wanaotaka kustaafu siasa. Achana na siasa fanya mambo mengine; you are still my brother
CHADEMA imeshapoteza nafasi yake kwa Arumeru na chanzo chake ni wewe. Kuna damu italia juu yako mana kuna watu walitoa uhai wao na damu yao ili iandike mabadiliko Arumeru na wewe ukapewa dhamana ya kuongoza mabadilio hayo.
Kama umenunuliwa umekosea na kuna laana utabeba ukiaminiwa na watu unatakiwa utune Imani yao kwako ndani ya moyo wako naamini kabisa tulikupigia kura na ukashinda kwa sababu ya CDM na siyo kwa sababu ulikuwa na sera nzuri
Naomba jitafakari