CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
hali zenu wanajamvi, kwa majonzi mazito nasikitika kutangaza kuwa ntakuwa naonekana jamvini kimachale cos nimepigwa ban na ofisi kutotumia internet ktk ofc hiyo. kiukweli ntawamis, hasa ntakachomiss ni avatar na picha za babu Asprin, mzee Mtambuzi na dedication za BAK zile anazopost via youtube. nilisikia madame gfsonwin kaweka avatar nzur bahat mbaya sijapata access ya comp so sijaiona.pia like zangu zitakuwa adimu km za flan,so mtaniwia radhi. nipatapo access ya comp ntawapa malike ya kufa mtu!
Last edited by a moderator: