Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 405
- 830
Hivi kwani hatuwezi kusingizia msiba mzito kwa mfano tukachukua jeneza tukamweka hata zimbwe sisi hao mochwali then ikifika usiku tunautangazia umma kuwa zimbwe kafufuka na hakuwa amefariki ila alikua mahututi tuu ili tff wasogeze mechi mbele