Kutokana na umuhimu wa hospitali hiyo ya Mloganzila kuwa ya Kimataifa, na kutokana na mahali ilipo, nashauri kutengwe eneo la kujengwa uwanja wa ndege ambao utaruhusu ndege zenye wagonjwa wa dharura kufika kwa haraka na kupatiwa matibabu.
Huu ni mpango wa muda mrefu, nimelenga miaka 50 ijayo, kwa sasa bado kuna eneo kubwa la kutosha.
Huu ni mpango wa muda mrefu, nimelenga miaka 50 ijayo, kwa sasa bado kuna eneo kubwa la kutosha.