mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
duuh aiseee hapo unabaki na buku
Hio buku ikikatwa kodi ya 18% anabaki na Tsh .820# mkuu,hahah
duuh aiseee hapo unabaki na buku
Habari ndo hiyoUna uhakika kadaiwa peke yake?👂
Habari ndo hiyo
Diamond atakomaje?alipe kodi,awalipe babu tale,Salaam na mkubwa Fella,awalipe madancers zaidi ya 10,amlipe kifesi,amlipe romy,amsomeshe mtoto wa Esma,amlishe Esma na mama yake,bado na Zari anasubiri big money,pole sana Diamond
Jamani si msubiri haukumiwe? Nani kawaambia halipi ushuru sababu mmeona hiyo barua? Kama kuna kilichokosewa huko ofisini au ndio njama kama kwa za kumchafua mtajuaje na watanzania wazima kushadadia bila subira? wwengi wivu.com umejaa
Na mlio like picha ya barua ndio inamaanisha mnafurahia kuona mwenzenu katumiwa maulizo juu ya Tax, yaani great thinkers(sijui kweli) kibao kudandia bila kusubiri hukumu, utadhani anajua nini amekosa kabisaaaa duh.
mume mtatulia, kwa chochote tusubirieeeeeee sio kusherekea
ni mie mdau
Akili yako na jibu ulilotoa hapa vinafanana... Sina shaka unasadifiana na huyo kwenye Avatar yako
Una mentality ya kukwepa kodi wewe.Hawa jamaa ni loosers wanatia aibu walikuwa wapi siku zoote hizo. Kuna misamaha ya kodi mikubwa kuliko mapato ya Diamond. Huku nyumba za ibada hatushangai wakaanza kudai misikiti na makanisa kodi za sadaka. Wafadhili wamejitoa kutoa fedha sasa wana haha.
MKUU I KNOW TAXATION IN AND OUTVitu vingine kama hamjui kaeni kimya tu ahahahahaha duuuuh. Umenivuja mbavu
Sheria ya kodi iko hivi, Ni wajibu wako kuilipa kutokana na mapato yako iwe kazi au biashara na unapoona wako kimya sio kwamba wanakuacha au wamekusahau, hapana kuna siku tu watakurudia na kukudai pesa yao hata kama iwe imepita miaka 100...Ni wajibu wako kulipa bila kushurutishwa kama vile wafanyavyo walioajiriwa..Hata huku unyamwezini watu huwa wanasahauliwa but siku wakikumbukwa ndio hapo unasikia Tyson/Snipes wamefilisika au wamefungwa na malimbikizo ya kodi walijisahau kulipa.Ni baada ya miaka mingi watoa ushuru wanadai chao!!! Muulizeni David James pamoja na kua aliidakia England kwa miaka mingi kodi imemfilisi kabaki maskini..Tuweke tabia ya kulipa kodi bila kufuatwa na TRA.Mameneja wake walitakiwa wayajue hayo its not a rocket science!!Nafikiri issue sio Kwanini Diamond asilipe kodi, kila mwananchi anaepata Income ni lazima alipe kodi. Issue kwann Diamond, kwann tasnia ya muziki ambayo ndio inaanza kukua kwa kasi. Kwanini TRA isingeanza na watu wenye utajiri ambao hauwiani na kodi walizolipa TRA, kwanini haikuanza na wanasiasa na watu wa fani zingine?? Kwann haikuanza na wafanyakazi wa TRA wenye utajiri wa kupindukia?? Nafikiri kuna Siasa zaidi ya kodi. Revenue leakage nyingi sana kuliko kumrudisha nyuma huyu dogo. Wangetoa elimu kwanza kwa hawa wasanii kwani wengi wao hawaijui sheria ya kodi ya mapato sababu wengi wao darasa la saba.
ni kwamba kwa sasa wasanii wanasajili kazi zao ili kupata stika, na ili upate stika lazima uende basata, cosota usajiliwe then unapokuwa unauza kazi yako inakuwaa na stika ya tra, so stika kuwa nayo lazima uwe na tin ya biashara, in case wakitaka kukukadiria kodi wataanza na kuona wamekupa stika ngapi let say stika 1000, wanaamini kila kazi umeuza kwa 5000, so mapato yako ni 5000,000/- kama hujauza zote utatoa uthibitisho wa stock iliyopo, katika hiyo income watatoa matumizi ambayo yanatumika whole and exclusive kuzalisha kazi hiyo, baada ya hapo watahesabu show ulizopiga kwani aliyekupa show inapaswa akukate 5% ya with holding tax, akikata anasubmit tra then wanaamini ile iliyobaki still unayo itakuja kuwa subjected to tax kwani withholding kwenye service ni non finalyani na ambavyo sijui utaratibu wa kodi wala sielewi kinachoendelea..
Hivi ni wasanii wote wa muziki huwa wanalipa kodi kama hiyo anayozungumziwa kwa platnamz
MKUU I KNOW TAXATION IN AND OUT
SECTION 4 OF ITA IS THE CHARGING SECTION
SECTION 4 (a) INCOME TA IS CHARGED AND PAYABLE FOR EACH YOI BY EVERY PERSON WHO HAS TOTAL INCOME FOR THE YEAR OF BUSINESS
JE DIAMOND HANA TOTAL INCOME?
taxpayer identification numberwala usifike huko mkuu.. Nini maana ya tin?? Hapo ndio ulipojikoroga
Serikali dhaifu hufukuzana na machinga kudai kodi huku ikiwaacha wafanyabiashara wakubwa wakitesa. Sasa Sethi na Diamond ni yupi wa kukabwa koo?
taxpayer identification number