Naseeb Abdul (Diamond Platinumz), akaliwa kooni na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

In short diamond anastahili kulipa kodi kama watu wengine. ?Ila suala la kodi ya nyuma wangeipotezea tu maana mtu mwenyewe amezungukwa na watu ambao hawawezi kumshauri katika haya mambo. Mameneja wote hakuna mwenye elimu zaidi ya form four sasa haya mambo atayajulia wapi? ?Kwa level aliyofikia dogo anahitaji financial andiser lasivyo kuna siku atapoteza kila alichonacho. Mfano hayo mambo ya kodi usipokuwa makini nayo unaweza ukakuta unapoteza mali zote ulizochuma pale TRA wanapoamua kukufilisi kufidia kodi wanayodhani wanakudai. Na ishu imeshafika kwa Tax investigation ina maana watamkadiria kodi yote ya nyuma. Apewe tu msamaha na apewe onyo ili next time ajue kabisa anachofanya ni ukwepaji wa kodi na ni kosa ila sijui kama ni la jinai au.
 

Attachments

  • 1425912797310.jpg
    1425912797310.jpg
    36.3 KB · Views: 344


Hizi sheria zetu na utaratibu wa maafisa wa serikari kwakweli ni kama bahati nasibu kuna wasanii wangapi? wamuziki, mabendi, wacheza filamu na sehemu zingine wanao perform na malipo ayatolewi kodi.

It is good people to pay taxes au sheria zifuatwe lakini sio kwa tabia hizi za kuchagua nani alipe nani asilipe, nani aitwe kamati ya maadili nani aende mahakamani. Sidhani kama ni sahihi au sheria zinatakiwa kufanya kazi kwa ubaguzi.

Haya TRA ina mfumo wa self assesment wa kodi hili mtu ajue ni wapi anatakiwe alipe. Mfano diamond kweli anatakiwa alipe kodi, lakini kama biashara inavyotoa hela ya pango, umeme, na costs zingine muhimu kabla ya kulipa kodi. so as msanii na yeye anatakiwa apewa uhuru wa kufanya tathmini kwanza ya matumizi yake muhimu kabla ya kulipa kodi diamond mwenyewe ata nyumba ajamaliza, anakodi ya kupanga, ana magari anaweza yaweka kama sehemu ya kazi na mambo mengi.

In short kwanza lazima uje na sheria ya self assessment au useme kila msanii anapoenda kufanya shoo percent fulani ya kiingilio ni vat. Lakini si kukurupuka tu wakati pengine hata huyo msanii ajui utaratibu wa kulipa kodi ukoje na haki zake zikoje kwanza. Only in Africa were law works by cherry picking, this is not right.
Hili ni tatizo kubwa kwa kweli. Maafisa wa TRA wanaangalia bidhaa zako bandarini wanakadiria ulipe kiasi gani.


Tanzania tops tax theft nations

Why many Tanzanians now avoid paying taxes

Govt advised to rethink tax administration procedures

Converting tax evaders into faithful taxpayers!

Kuna mianya/vianzo mingi mno ya kodi nchi hii lakini hakuna mwenye ujasiri wa kuifanyia kazi kwa sababu itawagusa wahusika. Mfano mzuri ni property tax. Ndio source ya kodi kwa nchi nyingi duniani! Hivi kwa nini mwenye uwezo wa kujenga ghorafa kwa mamilioni ashindwe kulipia property tax ya laki tano kila mwaka? Hela za wizi wa mara moja in most cases.
Watu wanapangisha nyumba na wanalipwa kodi in advance ya miezi sita hadi mwaka na hakuna kodi.
Kuna frame za maduka nchi nzima wengi wenye nazo hawalipi kodi lakini mpangaji mfanyabiashara analipa. Kuna sehemu nyingi

Kampuni imepangishwa ofisi kwenye jengo la mtu binafsi. TRA wanasema, huyu mtu binafsi anapaswa alipe kodi TRA ya asilimia 10 kwa kodi ya pango kampuni wanayoilipa. Na kwamba huyu mtu binafsi asipoilipa, kampuni iliyopangishwa kwenye jengo itawajibika kuilipa. Kwa maana nyingine, TRA haitamfuata huyo mtu binafsi. Halafu TRA wanakwambia haya wanapokuja kukagua mahesabu ya kampuni kwa mara ya kwanza kampuni ikiwa na umri upatao miaka mitano.

Niwaulize wana jamvi, hii arrangement mnaionaje?
 


Hili ni tatizo kubwa kwa kweli. Maafisa wa TRA wanaangalia bidhaa zako bandarini wanakadiria ulipe kiasi gani.


Tanzania tops tax theft nations

Why many Tanzanians now avoid paying taxes

Govt advised to rethink tax administration procedures

Converting tax evaders into faithful taxpayers!

Kampuni imepangishwa ofisi kwenye jengo la mtu binafsi. TRA wanasema, huyu mtu binafsi anapaswa alipe kodi TRA ya asilimia 10 kwa kodi ya pango kampuni wanayoilipa. Na kwamba huyu mtu binafsi asipoilipa, kampuni iliyopangishwa kwenye jengo itawajibika kuilipa. Kwa maana nyingine, TRA haitamfuata huyo mtu binafsi. Halafu TRA wanakwambia haya wanapokuja kukagua mahesabu ya kampuni kwa mara ya kwanza kampuni ikiwa na umri upatao miaka mitano.

Niwaulize wana jamvi, hii arrangement mnaionaje?

Tatizo mmojawapo ni kwamba TRA ipo kama dubwana lisilojua jua linatakiwa kufanya kazi gani. Inawezekana na mfumo uliopo lakini TRA inatakiwa kuwa proactive katika kazi zake. Wabadilike kadri maisha na mwenendo wa kiuchumi unavyobadilika Tanzania.

Zamani wasanii hawakuwa na vipata kama wakati huu. Ni kitu ambacho TRA wanatakiwa kukiona na ikiwezekana kuwa na kitengo cha kukusanya mapato yatokanayo na kazi za wasanii/sanaa kwa ujumla. Bado wapo kwenye mawazo mgando ya kutoza kodi magari yanayoingia nchini na vitu kama bia, sigara nk Kila wakati wanacheza hapo hapo kupandisha na kushusha wakati kila wakati vianzo vipya vinaibuka.

Sielewi kwa nini hawafuatilii mfumo wa kuzalisha CD/DVD za muziki/video wakati kila mtu anajua ni biashara kubwa. Ndio maana kuna kuna CD/DVD fake mitaani na tafsiri yake ni kwamba hawalipi kodi.

Asilimia ngapi ya wakazi wa Dar wanakaa nyumba za kupanga hata kama ni chumba kimoja? Huyo mpangaji kazini kwake anakatwa kodi lakini mwenye nyumba halipi kodi yoyote!

Inawezekana TRA inaingiliwa mno kisiasa katika utendaji wake. Kuna sababu gani mpaka leo, waziri wa fedha mwanasiasa atoe misamaha ya kodi wakati wataalamu TRA wapo? Kazi yao ingekuwa ingekuwa kufuata shaeria husika basi. Nchi inaendeshwa kwa vimemo.

hatua ya kwanza itakuwa ni kuifanya TRA iwe huru zaidi katika kazi zake bila kuingiliwa na wanasiasa, awe Rais au waziri wa fedha. Tumeona mpaka AG anatoa misamaha ya kodi!
 
Siku zote huwa nasema tra hawakusanyi kodi bali ni wauwa biashara za watu. Hivi kama wako serious kwanini hawaja mfanyia auditing tangia 2010 ndo wanaibuka sasa? Inawezekana wanataka wambane halafu ccm wajewamsaidie ili wakubaliane awapigie kamepni maana komba hayupo.

Jamaa ana saini barua eti dr. Hivi haoni aibu kumfanyia ttax investigation dagaa diamond wakati wakina chenge wamelamba consultancy fee ya bilioni 1.4...hapo withholding tax yake ni milioni 70 na wala hawaja muandikia barua ya mukdai ....poor tra
 
Kila mtu anajuwa diamond kamaliza darasa la saba.....kiingereza sio lugha yake ya kwanza halafu unamwandikia barua ya kujieleza kwa kiingereza...inakuja kweli???
 


Hili ni tatizo kubwa kwa kweli. Maafisa wa TRA wanaangalia bidhaa zako bandarini wanakadiria ulipe kiasi gani.



Why many Tanzanians now avoid paying taxes




Kampuni imepangishwa ofisi kwenye jengo la mtu binafsi. TRA wanasema, huyu mtu binafsi anapaswa alipe kodi TRA ya asilimia 10 kwa kodi ya pango kampuni wanayoilipa. Na kwamba huyu mtu binafsi asipoilipa, kampuni iliyopangishwa kwenye jengo itawajibika kuilipa. Kwa maana nyingine, TRA haitamfuata huyo mtu binafsi. Halafu TRA wanakwambia haya wanapokuja kukagua mahesabu ya kampuni kwa mara ya kwanza kampuni ikiwa na umri upatao miaka mitano.

Niwaulize wana jamvi, hii arrangement mnaionaje?

tax.jpg




That bar chart sums up my argument ya kuwa 72% ya walipa kodi awafahamu sheria yenyewe ikoje kwa ufasaha na hawa sio waajiriwa kwa sababu wao wanakatwa moja moja kwa moja.

Leo ukimuuliza mtu kodi ya gari bandarini awezi kukupa exactly quote sana sana anakupa estimates tu.

Hakuna hata forms za self assessment TRA akija sijui anaamua vipi kwa mama ntilie asie hata na kitabu cha book-keeping. Huyu mama serikari imasaidie vipi kumshawishi kufanya biashara kutokana na mapato yake si ajabu afisa akienda na kitambulisho anakula bure kwa mkwara na woga wa mama kufilisiwa.

These people need to back to the drawing board na kurekebisha mambo, wapangishaji wa nyumba binafsi na maofisi pia are not registered as business ndio maana unaona wanawavaa wapangaji badala ya owners ambao wanalipwa tayari.

The tax system to small business and self employed is a mess na imekaa kwa kulelea ufisadi, ukwepaji wa kodi au kiunoevu pale wanapotaka ulipe kwa lazima.
 
Tatizo mmojawapo ni kwamba TRA ipo kama dubwana lisilojua jua linatakiwa kufanya kazi gani. Inawezekana na mfumo uliopo lakini TRA inatakiwa kuwa proactive katika kazi zake. Wabadilike kadri maisha na mwenendo wa kiuchumi unavyobadilika Tanzania.

Zamani wasanii hawakuwa na vipata kama wakati huu. Ni kitu ambacho TRA wanatakiwa kukiona na ikiwezekana kuwa na kitengo cha kukusanya mapato yatokanayo na kazi za wasanii/sanaa kwa ujumla. Bado wapo kwenye mawazo mgando ya kutoza kodi magari yanayoingia nchini na vitu kama bia, sigara nk Kila wakati wanacheza hapo hapo kupandisha na kushusha wakati kila wakati vianzo vipya vinaibuka.

Sielewi kwa nini hawafuatilii mfumo wa kuzalisha CD/DVD za muziki/video wakati kila mtu anajua ni biashara kubwa. Ndio maana kuna kuna CD/DVD fake mitaani na tafsiri yake ni kwamba hawalipi kodi.

Asilimia ngapi ya wakazi wa Dar wanakaa nyumba za kupanga hata kama ni chumba kimoja? Huyo mpangaji kazini kwake anakatwa kodi lakini mwenye nyumba halipi kodi yoyote!

Inawezekana TRA inaingiliwa mno kisiasa katika utendaji wake. Kuna sababu gani mpaka leo, waziri wa fedha mwanasiasa atoe misamaha ya kodi wakati wataalamu TRA wapo? Kazi yao ingekuwa ingekuwa kufuata shaeria husika basi. Nchi inaendeshwa kwa vimemo.

hatua ya kwanza itakuwa ni kuifanya TRA iwe huru zaidi katika kazi zake bila kuingiliwa na wanasiasa, awe Rais au waziri wa fedha. Tumeona mpaka AG anatoa misamaha ya kodi!
Wako desperate for the most part na kodi zao aziko sambasamba kwa madhumuni ya kuweka biashara ndogondogo zikue zitoe ajira or even mtu ainuke kimaisha.
 
Sorry usione sikukujibu, nilikuja kukuelewa kwamba tatizo lako ni ushamba n trust me wewe uwezi kuwa wa mjini.

Pia hupo inferior sana unacompasate usichonacho na picha ambazo yoyote anaweza kuziweka coz zimejaa mtaani. Pole sana !

Am not inferior, nilikuwa nakuonyesha tuu kodi ya milioni kumi kwa mfanyabiashara ni ndogo sana, usinitie kichefu chefu njaa kali wewe
 
Mpaka huu uchaguzi uishe cha moto tutakiona maana serikali imetugeuza mtaji kwa ajili ya uchaguzi mtaani hakukaliki
 
Serikali imetumia hela ktk propaganda za katiba jinga sasa inahangaika kutafuta hela ya uchaguzi
 
mameneja watatu,jamani msanii mameja watatu?ndo maana nyumba haishi,halafu kila anakokwenda anasafiri nao

Huwa anakuacha nini, huwa unatamani kwenda nae kwenye hizo tour ? ? Mbona umelishupalia sana Suala la mameneja na tour, kuliko mada iliyopo hapa inayohusu kodi! !
 
Kimsingi TRA walitakiwa wampe BURE mshauri wa maswala ya pesa.......ukwepaji wa kodi kwa tanzania ni mkubwa mno....wapo watanzania wengi wanapata kazi halali nje ya nchi kwa muda mrefu na mfupi TRA wala hawawafuatilii,,,,,,wapo wakulima wanauza mazao tena wanapata mamilioni wala hawajawahi ulizwa kodi....wapo wauza ngombe mbuzi,,,,,kondoo wala hawajawahi fwatwa kwa siku wanaingiza mamilioni.....cha msingi mianya ya kodi tanzania ni mikubwa mno ...TRA wanafanya kazi kwa mazoea...tena wafanyakazi wake ni wala rushwa wakutupwa....i have this rafiki amejenga nyumba maeneo ya GOBA nyumba ni ya zaidi ya milioni 800 yupo baa anatangaza kabisa hajawahi tumia mshahara wake kugaramia ujenzi ni rushwa tu...kati yake yeye na DIAMOND nani anatakiwa alipe KODIII???? i wish tungekuwa na utawala wa sheria...kila mtu lazima alipe kodi ila...kwa sasa kodi imekuwa ni swala la wachache hususani wale mno..onekani ni threat kwa watawala ndo mnaandamwa
 
Ni kitu cha ajabu sana kwa TRA kuifuatilia kampuni ili waiwajibishe badala ya huyo mwenye nyumba aliyepata mapato. Siyo siri kama zilivyo taasisi zetu nyingi nchini TRA nako kumejaa uozo wa hali ya juu. Yule mama naibu kamishna kapokea rushwa ya milioni 80 toka kwa Ruge lakini bado yuko kazini!!! UOZO MTUPU!!



Hili ni tatizo kubwa kwa kweli. Maafisa wa TRA wanaangalia bidhaa zako bandarini wanakadiria ulipe kiasi gani.


Tanzania tops tax theft nations

Why many Tanzanians now avoid paying taxes

Govt advised to rethink tax administration procedures

Converting tax evaders into faithful taxpayers!

Kampuni imepangishwa ofisi kwenye jengo la mtu binafsi. TRA wanasema, huyu mtu binafsi anapaswa alipe kodi TRA ya asilimia 10 kwa kodi ya pango kampuni wanayoilipa. Na kwamba huyu mtu binafsi asipoilipa, kampuni iliyopangishwa kwenye jengo itawajibika kuilipa. Kwa maana nyingine, TRA haitamfuata huyo mtu binafsi. Halafu TRA wanakwambia haya wanapokuja kukagua mahesabu ya kampuni kwa mara ya kwanza kampuni ikiwa na umri upatao miaka mitano.

Niwaulize wana jamvi, hii arrangement mnaionaje?
 
Back
Top Bottom