Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Teh teh teh teh .
michezo gani mnakumbua ya utotoni.
Kuna ule mchezo wa Nasaka mke wangu naska mke wangu......
A anasema : Nasaka mke wangu nasaka mke wangu uuuuuu
B wanajibu : Hapa hayupo hapa hayupooooooo
A anasema: Kaenda wapi kaenda wapiiiiiiiii
B wanajibu kaenda kusuka kaenda kusuka
A : anasema; Kachukua nini kachukua niniiiii?i
B wanajibu : Kachukua chanuo namafuta
............
Dah nimesahau wimbo hu ulivyouwa unaishia ila mwisho wa mchezo kama sikose ilikuwa mnavutana. kunakuwa na makundi mawili
Mchezo gani unakumbuka wa utotoni ? Je ulitengeneza magari ya maboski na visoda, Tiara au vishada kubumba watoto kwa udongo?
Tuendelee watoto wa jana.
michezo gani mnakumbua ya utotoni.
Kuna ule mchezo wa Nasaka mke wangu naska mke wangu......
A anasema : Nasaka mke wangu nasaka mke wangu uuuuuu
B wanajibu : Hapa hayupo hapa hayupooooooo
A anasema: Kaenda wapi kaenda wapiiiiiiiii
B wanajibu kaenda kusuka kaenda kusuka
A : anasema; Kachukua nini kachukua niniiiii?i
B wanajibu : Kachukua chanuo namafuta
............
Dah nimesahau wimbo hu ulivyouwa unaishia ila mwisho wa mchezo kama sikose ilikuwa mnavutana. kunakuwa na makundi mawili
Mchezo gani unakumbuka wa utotoni ? Je ulitengeneza magari ya maboski na visoda, Tiara au vishada kubumba watoto kwa udongo?
Tuendelee watoto wa jana.