Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

2025 kutakuwa na nini boss cha kutishia watu? Kwa taarifa yako mbegu ya upuuzi aliyopandikiza dhalimu ya kupora chaguzi za nchi, hakuna kiongozi yoyote wa CCM ataacha kuitumia. Usishangae huyo mama akaamua kutangazwa kwa kura nyingi kuliko idadi ya watanzania wote ikiwemo na watoto. Dhalimu amefanya uchaguzi kugeuka kuwa upuuzi kama upuuzi mwingine. Hivyo ukitishia majizi ya kura hiyo 2025 wanakuchora tu.
Wala hakuna cha kushangaza 2025 hata wakichuku majimbo yoote tena je kutakuwa na jipya?
 
These sound stupid! wewe ni nani hata usiwe na uhakika wa kurudi nyumbani? ulikuwa unafanya nini ktk nchi hii? Kma ni wizi, hiyo ilikuwa haki yako!

Ninachokiona Tanzania tuko tayari kunyamaza kwa kiongozi pumbafu kwa kuwa tu anaturuhusu kuiba na kulawiti nchi. Lakini hatuko tayari kuwa na mtu anayetushika mikono kwa wizi wetu.

Naangalia hali ya sasa ya serikali. Tuna mawaziri ambao hawajui lolote, lakini hutasikia watu kama huyu wakipiga kelele. Eti Riziwani naye ni waziri! Mijitu iko kimya tu, kazi kukumbuka vyeti feki, kutumbuliwa kwa uzembe, nk. Acheni kusambaza upuuzi.
Tazama Amani Nchi nzima


Nani kama Mama?
 
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too
A homicidal maniac....His common nomenclature

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.


Definitely, You was one of the honey lickers during those bad days of tyrannical regime of the Python of Chato.
 
Wewe unaonekana kutojitambua rasmi!

Ebu tuambie,huo uhuru wa habari uliopo sasa ni upi na umeleta tija gani kwa watanzania?

Hao wawekezaji waliopo sasa wana mchango gani katika kuinua ajira nchini,tofauti na ilivyokuwa huko awali?

Wewe uko na upofu wa tumbo maana huyaoni wala huyajui maisha wanayopitia walamba shubili wa nchi hii.

Wewe kimada chawa wa walamba asali endelea na Honeymoon yako,ila majibu rasmi mtayaona 2025.

Hayo maushungi mtayaona mzigo!

Achakunishobokea kijana!.Kama uwezo wako ni mdogo wa kuelewa maana ya majibu mfano na yenye kutafakarisha mtu,usiwe unakurupukia wanaume.
Wewe fala sana Hao kina Manji ndio walikuwa wanafaidi hii nchi tena bila kulipa kodi alipoingia Magufuli akaambiwa lazima alipe kodi
Ndio mambo yakawa mengi.

Mara anaitaka fukwe ya coco beach fukwe za bahari yote zmechukuliwa na wenye pesa ukitaka kwenda kuogelea unatakiwa kulipia imebaki coco beach nayo anataka aichukue Manji magufuli alimkatalia eti ndio akatishia kuamisha biashara zake kisa kuambiwa alipe kodi selikarini na kunyimwa coco beach.

Nyie mazwazwa kama wewe msiojielewa ndio mnaoteteaga ujinga yaani hii nchi inamijitu mijinga ndio maana wageni kama hao waarabu na wahindi wakija Tanzania ni rahisi kutajirika kwa haraka alafu sisi wazawa ndio tunabanwa kweli tena kwa tubiashara tudogo tu kodi mzigo kwao hao ngozi nyeupe tuna papalika nao na ni rahisi wao kukwepa kulipa kodi sababu kuna mijitu mijinga mingi kama wewe Tahira
 
Waitihausi ilichafuka damu,utekaji,ukandamizaji,wizi,vinyongo,uvamizi wa majeshi,vitisho,ubaguzi Kwa kisingizio cha vita vya kiuchumi!!!
Sasa waitihausi inametameta maridhiano,haki,upendo,usawa nk. Uchumi wananchi tutaunyanyua kwa kusikilizana,kupanga,kuamua na kutekeleza Kwa pamoja na serikali tuloichagua bila vitisho!!
Shetani apigwe mawe daima!!! ni muongo na muivi!!!
 
Wewe fala sana Hao kina Manji ndio walikuwa wanafaidi hii nchi tena bila kulipa kodi alipoingia Magufuli akaambiwa lazima alipe kodi
Ndio mambo yakawa mengi.

Mara anaitaka fukwe ya coco beach fukwe za bahari yote zmechukuliwa na wenye pesa ukitaka kwenda kuogelea unatakiwa kulipia imebaki coco beach nayo anataka aichukue Manji magufuli alimkatalia eti ndio akatishia kuamisha biashara zake kisa kuambiwa alipe kodi selikarini na kunyimwa coco beach.

Nyie mazwazwa kama wewe msiojielewa ndio mnaoteteaga ujinga yaani hii nchi inamijitu mijinga ndio maana wageni kama hao waarabu na wahindi wakija Tanzania ni rahisi kutajirika kwa haraka alafu sisi wazawa ndio tunabanwa kweli tena kwa tubiashara tudogo tu kodi mzigo kwao hao ngozi nyeupe tuna papalika nao na ni rahisi wao kukwepa kulipa kodi sababu kuna mijitu mijinga mingi kama wewe Tahira
Huyo magufuli alikuwa mwanCcm na manji aliikuwa mwanaccm. Wote wezi tu walikuwa wanagombania maslahi tu hamna lolote.
 
Waitihausi ilichafuka damu,utekaji,ukandamizaji,wizi,vinyongo,uvamizi wa majeshi,vitisho,ubaguzi Kwa kisingizio cha vita vya kiuchumi!!!
Sasa waitihausi inametameta maridhiano,haki,upendo,usawa nk. Uchumi wananchi tutaunyanyua kwa kusikilizana,kupanga,kuamua na kutekeleza Kwa pamoja na serikali tuloichagua bila vitisho!!
Shetani apigwe mawe daima!!! ni muongo na muivi!!!
Walidhani maendeleo tunaletewa na serikali.

Uchumi unakuzwa na wananchi wenyewe kikubwa amani na utulivu
 
Huyo magufuli alikuwa mwanCcm na manji aliikuwa mwanaccm. Wote wezi tu walikuwa wanagombania maslahi tu hamna lolote.
Kuwa Ccm sio tija unaweza ukawa ccm na ukachukiwa na wanaccm wapigaji
Sababu wengine wapo kwenye chama tawala ili kukwepa mambo yao yasibainishwe

Kwa mfano huyo Manji unayemtetea na pesa zake zote zile yaani anaenda kugombea Udiwani ili iweje wewe Tahira uwezi kuelewa kaa kimya.
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine

Acha tu ,alikuwa anaenda kutudumbukiza shimo la tewa.

"Bahari imetulia ,Mungu ameamua" - Nape Nnauye ,Rondo Lindi Mtama May 2022.
 
Definitely, You was one of the honey lickers during those bad days of tyrannical regime of the Python of Chato.
What happened today afternoon, would never have happened during those bad days of tyrannical regime of the Python of Chato. This day shall go down in history as a day of infamy, where Tanganyika was officially auctioned off to the Arabs by a woman who is not a Tanganyikan.

I say this, Better the devil you know........
 
Kwa Mimi ninayeamini katika utawala wa Sheria uchambuzi wako haunisaidii kukubaliana na zuri lolote alilofanya Magufuli katika kuisaida Tanzania.

Kama Magufuli alikuwa na nia ya kuisaida Tanzania, kwa nini asijenge mfumo thaniti wa kisheria ambao ungefuatwa na kusimamiwa na Utawala wake? Lakini badala yake akajenga mfumo wa genge lake la kihalifu kuwaumiza Wananchi?
Kisiasa kwa nini wakati wa utawala wake Sheria nyingi sana zilitungwa kukandamiza Upinzani? Kwani wapinza ndo walikuwa wahujumu Uchumi? Kwa nini pesa ya Umma itumike kununua wapinzani na kuwapa vyeo? Kwa nini sifa kuu ya mtu kuteuliwa na Magufuli ilikuwa ni uwezo wa kuwatukana viongozi wa Chama kikuu cha upinzani?

Kuhusu Vyombo vya habari, kwa nini vilizuliwa kutoa habari za Ufisadi wowote hapa Tanzania badala yake vililazimishwa kutangaza na kumsifia yeye tu Magufuli anagundua Ufisadi?

Kuhusu Mahakama, kwa nini mahakama za juu za Tanzania wakati wa utawala wake ziliamua kwa maelekezo yake? Mahakama za mikoa ziliamua kwa maelekezo ya Wakuu wa Mikoa? Mahakama za Wilaya ziliamua kwa maelekezo ya Wakuu wa Wilaya? Na Mahakama za Mwanzo ziliamua kwa maelekezo ya ma-CCM?
Kuhusu mauji ya watu waliokutwa kwenye viroba wakielea kwenye maji, kutekwa kwa watu, na kupotezwa kwa watu. Haya yalifanyika wakati wa utawala wake sijajua yalileta faida gani kwa Taifa zaidi ya kuleta laana kwenye Taifa letu?

Lakini pia ni Kweli kuna mambo mazuri sana ambayo Magufuli alifanya lakini kwa kuzingatia Utawala wa Sheria, kwa maovu aliyoyatenda kwa wakosoaji wake, raia wema na hao munaowaita mafisadi, Magufuli angechunguzwa na kupelekwa Mahakamani angepatikana na hatia na kupewa Adhabu kali sana.

Lakini Mungu ni mwema, ametutetea na kuamua
Magufuli alikuwa na madhaifu mengi, lakini wahenge husema "zimwi likujualo halikuli ukakwisha"

Natumai watanganyika wote tumeona kilichotokea leo bungeni. Niwapeni tu taarifa, kwambu huu ni mwanzo tu. Kuna mengi yanakuja ambayo hamtaamini kama yanatokea hapa Tanganyika. Mtakuja kuamka mmechelewa sana. Kama huu ndiyo utawala wa kisheria basi niwatakieni kila la kheri wakuu.

But I say this, Better the devil you know...
 
Back
Top Bottom