Wakataaa ndoa hapo wavuna point nyinyi sanaHii wakiona wa “kataa Ndoa” tumekwishaa
Pole sana chief kwa kuendelea kukumbatia bomu.Samahanini sana kwa kuleta nyuzi nyingi. Nimeanza kuishi pamoja na mke wangu mtarajiwa. Nimegundua anani cheat na jamaa mcheza pool flani ambaye yy anadai ni rafiki tu.
Huyu jamaa kuna siku juzi kati tu hapa alikua na msala wa kulala na binti wa shule nikai save soo lake. Na wife ndo alinisimulia na kuniunganisha nae, ila leo nagundua anammendea wife roho inaniuma sana. Nimegombana na huyu jamaa tumerushiana maneno makali sana nusu turushuane ngumi.
Wife alipojua alinifokea na alikasirika sana, kasema wale ni rafiki zake tu na hapendi ninavyomtenga na jamii coz kuna leo na kesho kutwa. Je, aki-fall down njiani nani atamuokota? Nikakosa cha kujibu. Anyway nikamuambia sorry mama life should proceed.
If that not be the case tangu week jana kasema kua simpendi coz namfatilia sana na She needs privacy somtimez, anasema ha feel good nikikagua kagua simu yake. Anajiskia vbaya na kuona simpendi and i only use her. Nitaishi vipi bila yeye?
Nampenda mke wangu mno. Na hapa kaondoka yupo mkoa fulani kwa ndugu zake kwa issues flan na status naona kamsave jamaa ni km anambembeleza. More enough kani mute kwa no yngu aliyoizoea na apa nimeichek kwa no yngu nyingine ambayo yeye alisahau kuifuta niliipotezaga nikai renew.
Kichwa kimepata moto mno.why ani mute? Huyu mjinga anayemendea wake za watu(nahis hivo) nafikiria kumpoteza. Napitia magumu mno ndugu zangu.
Na hapa nafanya mpango ninunue gari na nimjengee uko kwao.but hajatulia kiivyo yaani she's so childish... sasa nisubiri akue kue walau afike miaka 35 ndo nimfanyie hayo au? Nalifikiria hili.
Siku 2 hizi akili ilivurugika kidogo. Depression isikie tu kwa watu. Unatype hata uelewi una type nn!onba isikukute.
Anyway wacha nisubiri akue kue, naendela kumuweka kwenye mstari. Yaani ata sijui km niombe ushauri au la!
Sasa nimeandika nini tena?
Jamaa anazingua sana, anataka kumjengea nyumba! Hahahah...Hiyo nyumba si bora akajenge kwao. Tena mwanamke huyo!We si mwanaume.
Afu story yako unasema kuwa ni mtarajiwa wako.
Mara mkeo.
Yani wewe unamjengea nyumba mwanamke wa siku hizi bro , utakuja kuumia wewe.
Inanishangaza kuona mwanaume anashindwa ku deal na issue kama hizi. Be a men, decide for your own sake.Samahanini sana kwa kuleta nyuzi nyingi. Nimeanza kuishi pamoja na mke wangu mtarajiwa. Nimegundua anani cheat na jamaa mcheza pool flani ambaye yy anadai ni rafiki tu.
Huyu jamaa kuna siku juzi kati tu hapa alikua na msala wa kulala na binti wa shule nikai save soo lake. Na wife ndo alinisimulia na kuniunganisha nae, ila leo nagundua anammendea wife roho inaniuma sana. Nimegombana na huyu jamaa tumerushiana maneno makali sana nusu turushuane ngumi.
Wife alipojua alinifokea na alikasirika sana, kasema wale ni rafiki zake tu na hapendi ninavyomtenga na jamii coz kuna leo na kesho kutwa. Je, aki-fall down njiani nani atamuokota? Nikakosa cha kujibu. Anyway nikamuambia sorry mama life should proceed.
If that not be the case tangu week jana kasema kua simpendi coz namfatilia sana na She needs privacy somtimez, anasema ha feel good nikikagua kagua simu yake. Anajiskia vbaya na kuona simpendi and i only use her. Nitaishi vipi bila yeye?
Nampenda mke wangu mno. Na hapa kaondoka yupo mkoa fulani kwa ndugu zake kwa issues flan na status naona kamsave jamaa ni km anambembeleza. More enough kani mute kwa no yngu aliyoizoea na apa nimeichek kwa no yngu nyingine ambayo yeye alisahau kuifuta niliipotezaga nikai renew.
Kichwa kimepata moto mno.why ani mute? Huyu mjinga anayemendea wake za watu(nahis hivo) nafikiria kumpoteza. Napitia magumu mno ndugu zangu.
Na hapa nafanya mpango ninunue gari na nimjengee uko kwao.but hajatulia kiivyo yaani she's so childish... sasa nisubiri akue kue walau afike miaka 35 ndo nimfanyie hayo au? Nalifikiria hili.
Siku 2 hizi akili ilivurugika kidogo. Depression isikie tu kwa watu. Unatype hata uelewi una type nn!onba isikukute.
Anyway wacha nisubiri akue kue, naendela kumuweka kwenye mstari. Yaani ata sijui km niombe ushauri au la!
Sasa nimeandika nini tena?
Samahanini sana kwa kuleta nyuzi nyingi. Nimeanza kuishi pamoja na mke wangu mtarajiwa. Nimegundua anani cheat na jamaa mcheza pool flani ambaye yy anadai ni rafiki tu.
Huyu jamaa kuna siku juzi kati tu hapa alikua na msala wa kulala na binti wa shule nikai save soo lake. Na wife ndo alinisimulia na kuniunganisha nae, ila leo nagundua anammendea wife roho inaniuma sana. Nimegombana na huyu jamaa tumerushiana maneno makali sana nusu turushuane ngumi.
Wife alipojua alinifokea na alikasirika sana, kasema wale ni rafiki zake tu na hapendi ninavyomtenga na jamii coz kuna leo na kesho kutwa. Je, aki-fall down njiani nani atamuokota? Nikakosa cha kujibu. Anyway nikamuambia sorry mama life should proceed.
If that not be the case tangu week jana kasema kua simpendi coz namfatilia sana na She needs privacy somtimez, anasema ha feel good nikikagua kagua simu yake. Anajiskia vbaya na kuona simpendi and i only use her. Nitaishi vipi bila yeye?
Nampenda mke wangu mno. Na hapa kaondoka yupo mkoa fulani kwa ndugu zake kwa issues flan na status naona kamsave jamaa ni km anambembeleza. More enough kani mute kwa no yngu aliyoizoea na apa nimeichek kwa no yngu nyingine ambayo yeye alisahau kuifuta niliipotezaga nikai renew.
Kichwa kimepata moto mno.why ani mute? Huyu mjinga anayemendea wake za watu(nahis hivo) nafikiria kumpoteza. Napitia magumu mno ndugu zangu.
Na hapa nafanya mpango ninunue gari na nimjengee uko kwao.but hajatulia kiivyo yaani she's so childish... sasa nisubiri akue kue walau afike miaka 35 ndo nimfanyie hayo au? Nalifikiria hili.
Siku 2 hizi akili ilivurugika kidogo. Depression isikie tu kwa watu. Unatype hata uelewi una type nn!onba isikukute.
Anyway wacha nisubiri akue kue, naendela kumuweka kwenye mstari. Yaani ata sijui km niombe ushauri au la!
Sasa nimeandika nini tena?
Kazingua mwamba. Labda iwe storyJamaa anazingua sana, anataka kumjengea nyumba! Hahahah...Hiyo nyumba si bora akajenge kwao. Tena mwanamke huyo!