Kama una akili kamwambie Meko arudishe hiyo mitumba ya ndege aliyouziwa na mabeberu fala wewe
Mwambie pia apaki hayo magari anayotembelea maana yote ni made in kwa mabeberu kuku ww
Mwambie pia afunge balozi zote pimbi wewe
[/QUO
Akili kubwa haiwezi kuongozwa na akili ndogo...baki na utopolo wako....maana na wewe kazi yako ni kusifia mabepari badala ya wewe kuwaza nchi yako itafikaje hapo
Acha ndugu yangu twende nao,tuko katika chungu kimoja kama kuiva tutaiva pamoja kama kuungua tutaungua pamoja.Halafu unajua WanaCCM mnadhani haya ni mambo mema na ya kufurahia.
Wewe unajiona timamu kweli!? Yaani uwe na ID ya Pan-Africanist halafu uwe na utimamu!?Mbona unatoa takwimu ambazo mwenyewe binafsi huna uhakika. Umetumia kigezo gani kutoa takwimu zenye utata kiasi hiki, hayo ni mawazo yako na kama ungepata mda wa kutathmini usingeweza kusema hivyo. WaTanzania wengi wanaakili timamu, hizo takwimu zako si za kweli.
Wewe umeongea points sana,hakika hanna haja ya kutumia hela ya watanzania masikini kufanya kiini macho cha uchaguzi vifutwe tuu naunga mkono hojaHii ndio Demokrasia ya Tanzania. Ushindi wa CCM ni aailimia 99.9 upinzani umeshatoswa baharini.
Bunge liapishwe, katiba ibadilishwe, Magufuli awe rais wa maisha Kama yule wa China.
Tuvunje uhusiano na mabeberu wa magharibi, sisi Ni nchi tajiri wala hatuhitaji kusaidiwa.
Tupige marufuku vyama vya siasa na siasa zote zifanywe na kuratibiwa na CCM tu.
Kila raia aliye na miaka kuanzia 18 na KUENDELEA ni lazima awe na kadi ya CCM na ailipie kwa lazima.
Huduma zote za kijamii zitolewe tu baada ya raia kuonyesha kadi ya CCM.
Yajayo yanahuzunisha.
Acha tu nisi comment ila nadhani utanielewa!!Hii ndio Demokrasia ya Tanzania🇹🇿. Ushindi wa CCM ni aailimia 99.9 upinzani umeshatoswa baharini.
Bunge liapishwe, katiba ibadilishwe, Magufuli awe rais wa maisha Kama yule wa China.
Tuvunje uhusiano na mabeberu wa magharibi, sisi Ni nchi tajiri wala hatuhitaji kusaidiwa.
Tupige marufuku vyama vya siasa na siasa zote zifanywe na kuratibiwa na CCM tu.
Kila raia aliye na miaka kuanzia 18 na KUENDELEA ni lazima awe na kadi ya CCM na ailipie kwa lazima.
Huduma zote za kijamii zitolewe tu baada ya raia kuonyesha kadi ya CCM.
Yajayo yanahuzunisha.
Yuko kwa Wajerumani anakula wine mnyama! Alidai haogopi chochote lakini saivi anakwambia ana hofu na vitisho-patheticKwani Lissu ataapishwa lini?
Kwa hiyo Nyerere alikuwa mjingaHii ndio Demokrasia ya Tanzania🇹🇿. Ushindi wa CCM ni aailimia 99.9 upinzani umeshatoswa baharini.
Bunge liapishwe, katiba ibadilishwe, Magufuli awe rais wa maisha Kama yule wa China.
Tuvunje uhusiano na mabeberu wa magharibi, sisi Ni nchi tajiri wala hatuhitaji kusaidiwa.
Tupige marufuku vyama vya siasa na siasa zote zifanywe na kuratibiwa na CCM tu.
Kila raia aliye na miaka kuanzia 18 na KUENDELEA ni lazima awe na kadi ya CCM na ailipie kwa lazima.
Huduma zote za kijamii zitolewe tu baada ya raia kuonyesha kadi ya CCM.
Yajayo yanahuzunisha.
Ukiweza kuchunga ng'ombe huwezi shindwa kuongoza watzWatz wengi wetu, tumebarikiwa roho nzuri, sura ndiyo usiseme, akili tu ndiyo tukanyimwa maskiiini..!!
Hii ndio Demokrasia ya Tanzania🇹🇿. Ushindi wa CCM ni aailimia 99.9 upinzani umeshatoswa baharini.
Bunge liapishwe, katiba ibadilishwe, Magufuli awe rais wa maisha Kama yule wa China.
Tuvunje uhusiano na mabeberu wa magharibi, sisi Ni nchi tajiri wala hatuhitaji kusaidiwa.
Tupige marufuku vyama vya siasa na siasa zote zifanywe na kuratibiwa na CCM tu.
Kila raia aliye na miaka kuanzia 18 na KUENDELEA ni lazima awe na kadi ya CCM na ailipie kwa lazima.
Huduma zote za kijamii zitolewe tu baada ya raia kuonyesha kadi ya CCM.
Yajayo yanahuzunisha.
Hii ingepitishwa mara baada ya hui ushauri, sijui tungekuwa katika hali gani muda huu?Hii ndio Demokrasia ya Tanzania. Ushindi wa CCM ni aailimia 99.9 upinzani umeshatoswa baharini.
Bunge liapishwe, katiba ibadilishwe, Magufuli awe rais wa maisha Kama yule wa China.
Tuvunje uhusiano na mabeberu wa magharibi, sisi Ni nchi tajiri wala hatuhitaji kusaidiwa.
Tupige marufuku vyama vya siasa na siasa zote zifanywe na kuratibiwa na CCM tu.
Kila raia aliye na miaka kuanzia 18 na KUENDELEA ni lazima awe na kadi ya CCM na ailipie kwa lazima.
Huduma zote za kijamii zitolewe tu baada ya raia kuonyesha kadi ya CCM.
Yajayo yanahuzunisha.