unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,505
- 2,862
Ndugu yangu mtu akifanya la maana lazima asifiwe akitibua alaaniwe, usiwe kama umenyweshwa dawa ya mapenzi na Magufuli. Nape atasifiwa na wote wanaojua haki za raia kasoro CCM wenye akili kama Makonda na Magufuli.
Lini umesifia. Ukiwa. Mnafiki ukumbuke na ya nyuma