Hivi Nape siye CCM mwenzao? Hata kuwaaga waandishi wa habari ni noma? Tuendako iko sheeeeeeeeedddaaaaaaaaaaa
Dikteta ameipiga marufuku isifanyikeWanajamvi na wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Hii press conference ya mheshimiwa Nape nauye itaoneshwa TV gani? Na ham saana nione hii kitu.
UPDATES;
=======
13:08hrs: Nipo hapa Protea hotel, Mheshimiwa Nape bado hajafika. Ntamsubiri hapa hapa.
Ametokea mtu anayeitwa Iddi Suleiman ambae ni meneja wa Protea na kudai mkutano hautakuwepo na waandishi walipombana nani kazuia, alisema akaulizwe RPC wa Kinondoni.
angalia tv EJamani update pleaz....
kuliko kuishi kama mashetani
bola kuwa shilawadu....
NI aibu kuwa na rais ambae anazuia hadi press conference!! Wale mbwa wanaosemaa kwamba JPM ni jasiri; sasa kama ni jasiri anaogopa vp hata press conference!! Huyu mtu hafai hata kidogo na lazima uwe mgonjwa wa akili ndipo unaweza kumuunga mkono!!
Nasikiliza kwenye Radio usalama wanamzuia asishuke kwenye gari na Nape amegoma kurudi kwenye gari
evinjwa na polloccmWanajamvi na wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Hii press conference ya mheshimiwa Nape nauye itaoneshwa TV gani? Na ham saana nione hii kitu.
True.Nasikia RPC Kinondoni kazuia mkutano wa Nape na wandishi wa habari.. Is it true!??