Nakuunga mkonoKweli
Nakuunga mkonoKweli
Nape anastahili kuwa 'kijana wa taifa'.
Kagange njaa......Ndani ya dakika 10 hivi kuna thread kama 6 hivi nimeziona zinaanzishwa hapa kumsifia Nape.
Kuna nini kinaendelea huko Lumumba??
Au leo kawaongezea posho yenu ya BUKU 7??
Una utani na mwanasheria mkuu wa ukwawa au?Maskinii Tanzania!!! Ndo ina watu wenye uelewa huu kweli?!? Mungu wangu naomba uiponye nchi yangu..... Inawezekana kabisa kichwa hiki ndo kimefunguliwa kutoka mirembe leo
ugonjwa huu unasumbua sana tanzania, udumavu wa akili.Nape ni miongoni mwa vijana wachache wenye misimamo thabiti
Nakumbuka baada ya agenda ya kujivua magamba ndani ya CCM, alishupalia waovu wote waondoke ndani ya CCM, na mojawapo alikuwa fisadi papa (kwa mujibu wa chadema) mzee Lowasa.
Nape aliendelea kushikilia msimamo mpaka leo na kesho. Big up Nape!
Nape ni miongoni mwa vijana wachache wenye misimamo thabiti
Nakumbuka baada ya agenda ya kujivua magamba ndani ya CCM, alishupalia waovu wote waondoke ndani ya CCM, na mojawapo alikuwa fisadi papa (kwa mujibu wa chadema) mzee Lowasa.
Nape aliendelea kushikilia msimamo mpaka leo na kesho. Big up Nape!
world cup 2010 south afrika vuvuzela lilikuwa maarufu sana!Nape ni miongoni mwa vijana wachache wenye misimamo thabiti
Nakumbuka baada ya agenda ya kujivua magamba ndani ya CCM, alishupalia waovu wote waondoke ndani ya CCM, na mojawapo alikuwa fisadi papa (kwa mujibu wa chadema) mzee Lowasa.
Nape aliendelea kushikilia msimamo mpaka leo na kesho. Big up Nape!
Hakuna kama nape. Manyumbu wale tu.
Rumbesa nyingine hiiNape ndoo mpango mzimaaaa. Manyumbu walie tuuuuuuu
Anajiandalia uzee wenye taabu nyingi na mateso. Mwacheni afurahishe nafsi yake kama kiongozi. Lakini siku za kutawala zinahesabika kama ilivyo ujana.Nape ni miongoni mwa vijana wachache wenye misimamo thabiti
Nakumbuka baada ya agenda ya kujivua magamba ndani ya CCM, alishupalia waovu wote waondoke ndani ya CCM, na mojawapo alikuwa fisadi papa (kwa mujibu wa chadema) mzee Lowasa.
Nape aliendelea kushikilia msimamo mpaka leo na kesho. Big up Nape!