Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Mafisadi waliokuwa ndani ya CCM na ukizingatia ndicho chama tawala hawa si maadui wa CCM peke, la ni maadui wa taifa zima maana wamekigeuza chama kinachotawala kuwa chao na kukiendesha chenyewe na serikali yake kifisadi na kusababisha machungu mengi sana katika maisha ya wengi humu Tanzania.
Nimesikiliza kwa Makini Mdahalo wa Chuo Kikuu juu ya Muswada wa Katiba, ambapo Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Mnauye alinena kuhusu umuhimu wa kupambana na hali ilivyo katika siasa za leo na umuhimu wa vijana kujiunga na mapambano haya, na leo amefafanua kinagaubaga jinsi wanachama wenye nia njema walivyokuwa na wakati mgumu katika kuleta mabadiliko ndani ya CCM. Kijana amekaa vizuri, anahitaji full support ya vijana wengine maana nina uhakika wazee hata waliobaki wako ambao hawako hepi na kasi ya kijana huyu na wenzake.
Huyu ndiye kijana aliyewahi kufukuzwa uanachama "kutoka duniani hadi mbinguni" na aliwahi kunenwa vibaya na viongozi wake kwa msimamo wake dhidi ya wanaolinda ufisadi na udhalimu ndani ya CCM.
Usikate tamaa, kaka tunakuona kama mkombozi katika chama, simamia mabadiliko, nafasi uliyonayo itumie vema kwa kasi hiyohiyo.
CHADEMA haya yanayotokea humo ndani mwenu... mi sisemi...
Nimesikiliza kwa Makini Mdahalo wa Chuo Kikuu juu ya Muswada wa Katiba, ambapo Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Mnauye alinena kuhusu umuhimu wa kupambana na hali ilivyo katika siasa za leo na umuhimu wa vijana kujiunga na mapambano haya, na leo amefafanua kinagaubaga jinsi wanachama wenye nia njema walivyokuwa na wakati mgumu katika kuleta mabadiliko ndani ya CCM. Kijana amekaa vizuri, anahitaji full support ya vijana wengine maana nina uhakika wazee hata waliobaki wako ambao hawako hepi na kasi ya kijana huyu na wenzake.
Huyu ndiye kijana aliyewahi kufukuzwa uanachama "kutoka duniani hadi mbinguni" na aliwahi kunenwa vibaya na viongozi wake kwa msimamo wake dhidi ya wanaolinda ufisadi na udhalimu ndani ya CCM.
Usikate tamaa, kaka tunakuona kama mkombozi katika chama, simamia mabadiliko, nafasi uliyonayo itumie vema kwa kasi hiyohiyo.
CHADEMA haya yanayotokea humo ndani mwenu... mi sisemi...