Mkuu ht mimi nilikuwa naamini ccm itadumu daima ila kwa hali ilivyo kinaparnganyika japo hatujui dakika,siku wala sasa.Libya,misri na tunisia ni mifano ya haraka ukichanganya na methali zetu za kiswahili....lenye mwanzo... .Ccm ni chama kilichojengeka kitaasisi zaidi,kwa hiyo haitaweza kusambaratika kirahisi kama hivi vyama ovyo,kumbukeni kuwa mtanzania yoyote anaetaka huduma huanzia kwa balozi na asilimia tisini ya mabozi w shima ni ccm so swala la ccm kusambaratika ni hadithi za kufikirika