DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Brother umeidharaulisha siasa,unapelekea ionekane kuwa sasa politiki ni uongo kabisa japo huwa hakuna uhakika kuwa ni uwongo.
NAPE umemtusi sana Fisadi EL ati leo unakuja kukaa nae jukwaa moja kama si unafiki na kujikomba itakuwa nini, ama EL siku hizi yaonekana keshakuvuta, nimekudharau sana nape na mageuzi yako mufilisi ya gamba ambayo Umemshindwa El, unapigia debe ilhali mpaka sasa ktk ccm mhanga wa movement yako ni mmoja tu Kilume Ng'enda.
Otherwise yaonekana ccm mnataka kutusanii wana arumeru na kutufanya mabwege we na Lowassa wako.
KWA TAARIFA TU HIYO SINGO YA COLABO WEWE NA EL LEO INAMMALIZA SIYOI NA TEGEMEA MAKOMBORA MTAKAYOYAPATA MUDA WA KUFLUSH UTAKUWA UMEPITA KUFIKIA JUMAPILI!
NAPE umemtusi sana Fisadi EL ati leo unakuja kukaa nae jukwaa moja kama si unafiki na kujikomba itakuwa nini, ama EL siku hizi yaonekana keshakuvuta, nimekudharau sana nape na mageuzi yako mufilisi ya gamba ambayo Umemshindwa El, unapigia debe ilhali mpaka sasa ktk ccm mhanga wa movement yako ni mmoja tu Kilume Ng'enda.
Otherwise yaonekana ccm mnataka kutusanii wana arumeru na kutufanya mabwege we na Lowassa wako.
KWA TAARIFA TU HIYO SINGO YA COLABO WEWE NA EL LEO INAMMALIZA SIYOI NA TEGEMEA MAKOMBORA MTAKAYOYAPATA MUDA WA KUFLUSH UTAKUWA UMEPITA KUFIKIA JUMAPILI!