Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Nadhani wana Jf wenzangu mnamkumbuka El Sahaf, Yule waziri wa propaganda wa the then Iraq, Alikuwa akisema ati! Wanajeshi wa Iraq wanawazunguka NATO wakati nyuma yake kuna vifaru vya NATO na vinaonyeshwa jinsi vinavyo isalimisha Iraq mikononi mwao,lakini yeye alikuwa anasema ati, ni mbinu za kivita na wanawazingira NATO!
Nape, ambaye watu wengi tulimuona kama mtu atakaye changia kwa asilimia kubwa mabadiriko ndani ya CCM ameuvaa uhusika kamili wa El Sahaf, Wanachama wanahama yeye anasema wamepoteza mvuto, kweli sasa inabidi Nape aitwe El Sahaf, maneno mengiii! 95% hayana ukweli, Hebu uache u-El Sahafu upate fahamu na ufunguke kisha uelewe kitu gani kinachotokea na ni kwa sababu gani, labda unaweza ukachangia mabadiriko ya ukweli kwenye chama chenu,
Acha u-El Sahaf Nape.
Nawasilisha.
Nape, ambaye watu wengi tulimuona kama mtu atakaye changia kwa asilimia kubwa mabadiriko ndani ya CCM ameuvaa uhusika kamili wa El Sahaf, Wanachama wanahama yeye anasema wamepoteza mvuto, kweli sasa inabidi Nape aitwe El Sahaf, maneno mengiii! 95% hayana ukweli, Hebu uache u-El Sahafu upate fahamu na ufunguke kisha uelewe kitu gani kinachotokea na ni kwa sababu gani, labda unaweza ukachangia mabadiriko ya ukweli kwenye chama chenu,
Acha u-El Sahaf Nape.
Nawasilisha.