Mdude_Nyagali
Member
- Dec 11, 2022
- 60
- 1,237
2015 Nape alimtusi mzee Lowasa kwamba ni mgonjwa na kwamba ikulu anapotaka kwenda sio wodi ya wagonjwa.
2022 Nape alifurahia kifo cha Magufuli wakati akimkaribisha Membe ndani ya chama. Nape alimuambia Membe Mungu ameamua ugomvi bahari imetulia.
2023 Nape alikaa kimya pale ambapo katibu mkuu wa ccm Ndg. Chongolo alipojiuzu kwa madai kuwa kuna watu walimtengenezea kashfa za ngono kwenye mitandao ya kijamii.
2023 Nape anatoa maagizo kwa wale wote waliomzushia ugonjwa/kifo VP Mpango wakamatwe haraka.
Mkiacha hilo Nape ana kashfa kufuatilia maudhui ya ngono kwenye mtandao wa X Twitter. Pia ndio mwoga wa taifa baada ya kutembea kwa mguu kutoka Kariakoo - Mnazimmoja kwenda Ikulu kwa ajili ya kuomba Msamaha kwa Magufuli wakati hakupigwa hata fimbo.
Bado najiuliza Bumunda hili liliwezaje kuwa first eleven kwenye kikosi cha Samia? Au ndio maana Samia anaporonga?
2022 Nape alifurahia kifo cha Magufuli wakati akimkaribisha Membe ndani ya chama. Nape alimuambia Membe Mungu ameamua ugomvi bahari imetulia.
2023 Nape alikaa kimya pale ambapo katibu mkuu wa ccm Ndg. Chongolo alipojiuzu kwa madai kuwa kuna watu walimtengenezea kashfa za ngono kwenye mitandao ya kijamii.
2023 Nape anatoa maagizo kwa wale wote waliomzushia ugonjwa/kifo VP Mpango wakamatwe haraka.
Mkiacha hilo Nape ana kashfa kufuatilia maudhui ya ngono kwenye mtandao wa X Twitter. Pia ndio mwoga wa taifa baada ya kutembea kwa mguu kutoka Kariakoo - Mnazimmoja kwenda Ikulu kwa ajili ya kuomba Msamaha kwa Magufuli wakati hakupigwa hata fimbo.
Bado najiuliza Bumunda hili liliwezaje kuwa first eleven kwenye kikosi cha Samia? Au ndio maana Samia anaporonga?
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.