KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM ndugu Nape Nnauye amewapokea wanachama Wapya wa CCM Tawi la SMMUCO Tawi la Tumaini HIMO.
Jumla ya wanachama Wapya 193 wamejiunga na CCM na wamefungua Tawi lao rasmi leo.
Pia RAIS WA serikali ya wanafunzi wa CHUO hicho ndugu Paul K. Laurent amejiunga na CCM. Mchana kutakuwa na Mkutano MKUBWA wa Hadhara Moshi Mjini katika viwanja vya Polisi mkutano unaosubiriwa kwa hamu sana.
HUU utakuwa mkutano wa kwanza kwa Nape kuhutubia katika mkoa WA Kilimanjaro toka ateuliwe kuwa KATIBU WA Itikadi na Uenezi wa CCM.
Jumla ya wanachama Wapya 193 wamejiunga na CCM na wamefungua Tawi lao rasmi leo.
Pia RAIS WA serikali ya wanafunzi wa CHUO hicho ndugu Paul K. Laurent amejiunga na CCM. Mchana kutakuwa na Mkutano MKUBWA wa Hadhara Moshi Mjini katika viwanja vya Polisi mkutano unaosubiriwa kwa hamu sana.
HUU utakuwa mkutano wa kwanza kwa Nape kuhutubia katika mkoa WA Kilimanjaro toka ateuliwe kuwa KATIBU WA Itikadi na Uenezi wa CCM.