Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Nape kwa taarifa yako Afrika Kusini hawachanganyi siasa na biashara, ile ni nchi ya kibepari hakuna mfanyabiashara hata mmoja atakayekuja bongo kuuza sura na chama kilichochoka. Tofauti ya Nape na Mwigulu ni kuwa Mwigulu kidogo kitabu kipo only amechanganyikiwa na siasa za Meru but Nape kichwa maji kabisa.