tol
JF-Expert Member
- Apr 18, 2014
- 256
- 170
Kweli nimeamini lakuvunda halina ubani, Karibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye kaishiwa Sera kasema wamejipanga kuwaeleza wananchi kwanini MWL Nyerere alimkataa Lowassa asigombe urais wa Tanzania.
Namshauri Nape asiwe kama mtoto anayelia baada ya kuona maziwa, kwani hapo hakuna jipya
tunataka Nape atuambie Magufuli atachukua hatua gani kwa wezi wa ESCROW,ufisadi na ubadhirifu katika bomba la gesi utashuhulikwa vipi, atuambie atashughulikiaje suala la ukosefu wa ajira.
Atueleze kwa vielelezo atapambana vipi na ugumu wa maisha hasa kupanda kwa bei za bidhaa ikiwa ni pamoja na us dollars.
Sisi tumeshahamua kumkubali Lowassa hakuna wa kutubadilisha.
Namshauri Nape asiwe kama mtoto anayelia baada ya kuona maziwa, kwani hapo hakuna jipya
tunataka Nape atuambie Magufuli atachukua hatua gani kwa wezi wa ESCROW,ufisadi na ubadhirifu katika bomba la gesi utashuhulikwa vipi, atuambie atashughulikiaje suala la ukosefu wa ajira.
Atueleze kwa vielelezo atapambana vipi na ugumu wa maisha hasa kupanda kwa bei za bidhaa ikiwa ni pamoja na us dollars.
Sisi tumeshahamua kumkubali Lowassa hakuna wa kutubadilisha.