HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
dhamira yangu inanituma kuuliza kila siku niamkapo asubuhi nape anaipeleka wapi ccm,ukiangalia ziara zake zimedhihirisha upungufu fulani sijui ni ama hakubaliki na baadhi ya wanachama wake au kwa kuwa naye amepewa cheo kwa sababu ya historia ya familia yao anatimiza wajibu mambo yaende .ona leo kaandaa mkutano anataka kuonyesha tambo gani ,ukizingatia hiki chama kiliahidi mambo mengi kwa wananchi wake na asilimia kubwa utekelezaji wake bado leo anaiga cdm kufanya kile inachofanya .lakini tusiongee sana pengine amepewe baraka na wana ccm wenzake .maswali ni mengi kuliko majibu kuhusu mkutano huu .