johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,803
- 143,273
Waziri wa Habari Nape Nnauye amewapongeza Upendo Media kwa Kazi Nzuri wanayoifanya kuchochea Maendeleo nchini.
Nape amesema Watanzania 78% Wanatumia Redio na waliobaki ndio wako kwenye TV na Mitandao ya Kijamii.
Nape amesema mitandao ya Kijamii ina mambo Mengi yasiyofaa hivyo Wazazi tuwazoeshe Watoto wetu kutumia Redio FM badala ya mitandao.
Upendo Redio FM Inaponya, amesisitiza Mhe. Nape.
Source: Upendo TV
Nape amesema Watanzania 78% Wanatumia Redio na waliobaki ndio wako kwenye TV na Mitandao ya Kijamii.
Nape amesema mitandao ya Kijamii ina mambo Mengi yasiyofaa hivyo Wazazi tuwazoeshe Watoto wetu kutumia Redio FM badala ya mitandao.
Upendo Redio FM Inaponya, amesisitiza Mhe. Nape.
Source: Upendo TV