Naona wazi kabisa kukiwa na nchi ya Tanganyika Demokrasia itakuwa ni ndogo sana, nchi itaongozwa kimuseveni kwa mabavu zaidi

R-K-O

JF-Expert Member
Jun 27, 2023
482
2,138
Mzanibari pamoja na makando kando yake ila akiingia huwa kuna unafuu katika demokrwasia (hatujawai kuwa na demokrasia kamili)

Tunapotoka kwenye awamu za uminyaji wa demokrasia basi mzanzibari akiingia ndio tunapata nafuu ya demokrasia kuanzia uhuru wa kutoa maoni, Vyama vya upinzani hupewa nafasi, vyombo vya habari vinakosoa, n.k.

Nyerere katika utawala wake, uhuru wa maoni ulikuwa mdogo sana, ndio maana ni ngumu kukuta habari zake alipokosea, Kina samuell Sitta spika msataafu alishawai kuchapwa viboko kama mtoto kwa kumkosoa tu.

Mkapa nae kwenye suala la uhuru wa maoni ulikuwa mdogo, hakuvumia kabisa mambo ya upinzani

Magufuli alishabana demokrasia magazeti yakikosoa kidogo tu fungia, Wapinzani hiki kipindi walionekana kama wavamamizi katika nchi yao, wasiojulikana walishamiri.

Mtu pekee kutoka bara ambae alikuwa na nafuu ni Kikwete tu.

Ila ukiangalia pia mzee wa ruksa uwanja wa demkrasia aliufungua yeye na kuruhusua kuwepo mfumo wa vyama vingi, nae huyu mama ana mambo yake lakini uhuru wa demokrasia upo na ndio maana hata humu jamiiforums watu wanatoa maoni yao kwa uhuru si kama kipindi kilichopita ilifikia kipindi jamiiforums ilitaka kufungwa,
 
Wazanzibari ni waharibifu wa Tanganyika. Kila anayetawala lazima auze eneo la Tanganyika pekee.mwinyi kauza loliondo.Huyu naye anauza bandari.bora muungano ufe
 
Mzanibari pamoja na makando kando yake ila akiingia huwa kuna unafuu katika demokrwasia (hatujawai kuwa na demokrasia kamili)

Tunapotoka kwenye awamu za uminyaji wa demokrasia basi mzanzibari akiingia ndio tunapata nafuu ya demokrasia kuanzia uhuru wa kutoa maoni, Vyama vya upinzani hupewa nafasi, vyombo vya habari vinakosoa, n.k.

Nyerere katika utawala wake, uhuru wa maoni ulikuwa mdogo sana, ndio maana ni ngumu kukuta habari zake alipokosea, Kina samuell Sitta spika msataafu alishawai kuchapwa viboko kama mtoto kwa kumkosoa tu.

Mkapa nae kwenye suala la uhuru wa maoni ulikuwa mdogo, hakuvumia kabisa mambo ya upinzani

Magufuli alishabana demokrasia magazeti yakikosoa kidogo tu fungia, Wapinzani hiki kipindi walionekana kama wavamamizi katika nchi yao, wasiojulikana walishamiri.

Mtu pekee kutoka bara ambae alikuwa na nafuu ni Kikwete tu.

Ila ukiangalia pia mzee wa ruksa uwanja wa demkrasia aliufungua yeye na kuruhusua kuwepo mfumo wa vyama vingi, nae huyu mama ana mambo yake lakini uhuru wa demokrasia upo na ndio maana hata humu jamiiforums watu wanatoa maoni yao kwa uhuru si kama kipindi kilichopita ilifikia kipindi jamiiforums ilitaka kufungwa,
Hao ambao umewapa jina la ambao sio Watanganyika wao ni wauza nchi. Alipotoka Nyerere Mtanganyika, Loliondo Gate ikauzwa, Habib Halahala na Stan Katabalo wakauliwa kwa kuchapisha habari ile gazetini.

Alipotoka Mtanganyika Ben Mkapa, nchi ikauzwa. Pwani yote ya Bagamoyo ikapewa Wachina na Waarabu bure, tumshukuru sana Mtanganyika John Pombe Magufuli.

Ameondoka Mtanganyika John Pombe Magufuli, mmewatimua Wamaasai wote kutoka kwenye ardhi yao ya asili ya Ngorongoro, ardhi mmemuuzia Mwarabu.

Hamjatosheka, sasa Bandari zote za Tanganyika za baharini na maziwani, na anga zima na ardhi yote mmemuuzia Mwarabu, hivi mnatutakia nini sisi
 
Umeongea ukweli mtupu
Huko bara, Wazanzibari wanaofanya shughuli zao huko usalama wao unakuwa mdogo siku hadi siku. Kutokana na uongozi wa Bi Chausiku kukosa hekima ya uongozi na kuongozwa kwa tamaa zake za mali, yeye na kundi lake dhalimu
 
Huko bara, Wazanzibari wanaofanya shughuli zao huko usalama wao unakuwa mdogo siku hadi siku. Kutokana na uongozi wa Bi Chausiku kukosa hekima ya uongozi na kuongozwa kwa tamaa zake za mali, yeye na kundi lake dhalimu
Acha kujidanganya. Hakuna tishio lolote la usalama kwa yeyote. CHADEMA mnatamani sana nchi iwe na machafuko ila vyombo vya usalama chini ya serikali ya CCM viko macho.
 
Back
Top Bottom