Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Hawajui kutofautisha uhuru wa maoni, ukweli na ukada! ndio maana tumeingizwa mikataba mibovu kwa sababu ya upenzi wao bila kufikiri hasara na matokeo hasiTatizo lenu CCM hamkubali kutofautiana kimawazo hayo mambo zidumu fikra za mwenyekiti zimepita na wakati